MWANAWILE
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 277
- 135
Salaam wana JF. Nina dharura ya kikazi. Asubuhi naelekea Kigoma kutoka Bukoba. Sijawahi kufika huko naomba anaejua huko anipe hali ya huko hasa sehemu ya malazi, chakula na mengineyo. Mimi nimejiajiri mwenyewe naomba kuelekezwa guest isiyozidi elfu ishirini. Asanteni.