Haraka kama unavyo vitu hivi.

Haraka kama unavyo vitu hivi.

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,943
Reaction score
9,457
Nahitaji Toyota Vitz nina 5ml maongezi yapo mpaka gari niione,Namba kuanzia B...
Zinahitajika Land Rover Diffender Station Wagon 2 zilizo simama offer 30ml namba nazenyewe ziwe B
Mwenyekusikia, kuwanazo ani PM Tafadhari tufanye Biashara Utani sihitaji huwe seriously!!RANGI HAIJALISHI.
Ninasubiri kutoka kwenu asanteni.
 
mkuu,

hatuonani?

kama utapata uhitaji wa Toyota Hiace super custom, reg. T... BXU . ninayo very good condition, just imported from japan,
 
landrover ipo imetumika miaka 3 unatakiwa ulipe kodi upate na.mpya
 
landrover ipo imetumika miaka 3 unatakiwa ulipe kodi upate na.mpya
Sawa inauzwa bei gani kwanza tujue na niya mwaka gani ili nikache ushuru itakuwa kiasi gani na iko wapi ndo vitu vya msingi kwa sasa inahitajika Dar.
 
Sawa inauzwa bei gani kwanza tujue na niya mwaka gani ili nikache ushuru itakuwa kiasi gani na iko wapi ndo vitu vya msingi kwa sasa inahitajika Dar.

Kuna sehemu nimeliona defender,ngoja nikumbuke location kisha ntakujulisha mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom