Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Hongera sana Preta,
Jioni niandalie hicho kitu kwenye party tutakuwa pamoja
asante sana na mnakaribishwa wote kwa mromboo kwa ajili ya mbuzi choma
Hongera sana Preta,
Jioni niandalie hicho kitu kwenye party tutakuwa pamoja
Ha ha ha!! hakikisha tuktuk iko well serviced, usije ukafika after party, tukakosa cake bure!!!
Hongera sana Preta,
Jioni niandalie hicho kitu kwenye party tutakuwa pamoja
Ha ha ha!! hakikisha tuktuk iko well serviced, usije ukafika after party, tukakosa cake bure!!!
Fidel hujatulia wewe
Mate yameniteremka duh!! sijui tuanzie mduduni?? alafu kwa Mromboo ngoja nitafakuri, coming shortly.ha ha ha.... kweli kabisa alafu wewe kwa mromboo au mduduni?nasubiri
Mate yameniteremka duh!! sijui tuanzie mduduni?? alafu kwa Mromboo ngoja nitafakuri, coming shortly.
Binamu hiyo itakuwa co keki tena ngoja nitayarishe ya akiba maana am starting to dauti your tuktuk.Hehehehe si unajua tuktuk ya mchinia kwa hiyo ikifika cake kama unga mtanisamehe jamani
Ngoja nikupe direkshons ha ha ha ha pana lipa, usipime!!Hehehehe hapo kwa Mromboo naona papo level sana ngoja napafungia safari.
Hehehehe hapo kwa Mromboo naona papo level sana ngoja napafungia safari.
Hehehehe hapo kwa Mromboo naona papo level sana ngoja napafungia safari.
Happy Birthday Preta.May You Blow 100 Candles..
By the way how is Paco na Felipe?does Rai fine?