Morning love,
Happy Valentines🥰😘😍😍 Nakupenda sana, through wewe nimejua why watu hujiua kwa mapenzi, watu hukonda kwa mapenzi, watu hulilia mapenzi, najua huwezi kuamini haya lakini haiondoi ukweli wangu.
Nathubutu leo kusema mimi sikujua mapenzi ni nini before! Nilikuwa na taswira tofauti ya mapenzi, leo hasa naujua uchungu na maumivu ya mapenzi, maana ni penzi lako tu limeniliza, limeninyima kula, limeninyima usingizi at times.
Lakini kizuri hizo few beautiful moments nimeshare na wewe zimestick ubongoni ndio hunifanya nisahau maumivu haraka sana,they are my pain killers!
Nakupenda mpenzi🥰😍😘
Happy Valentines🥰😘😍😍 Nakupenda sana, through wewe nimejua why watu hujiua kwa mapenzi, watu hukonda kwa mapenzi, watu hulilia mapenzi, najua huwezi kuamini haya lakini haiondoi ukweli wangu.
Nathubutu leo kusema mimi sikujua mapenzi ni nini before! Nilikuwa na taswira tofauti ya mapenzi, leo hasa naujua uchungu na maumivu ya mapenzi, maana ni penzi lako tu limeniliza, limeninyima kula, limeninyima usingizi at times.
Lakini kizuri hizo few beautiful moments nimeshare na wewe zimestick ubongoni ndio hunifanya nisahau maumivu haraka sana,they are my pain killers!
Nakupenda mpenzi🥰😍😘