Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Hellow dears Happy new year to you all
Kwani wewe sio mtanzania mkuu??Amen
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana
typing error..kitu cha saint annah kilihusika katika kuupokea mwaka so nikawa naona na type s kumbe nah ni aMembera teh teh teh 2018 tumeanza kuona mengi
True..ni kwa Neema tu.Asante Mungu maana wapo walioitamani sana kufika/kuiona siku hii na hawakufika, sina nilichokupa na ninamapungufu mengi kuliko mema lakin Mungu wangu umenichagua kuuona mwaka 2018.