Mie ningejulia wapi aisee arif...mimi mwenyewe ndo nashangaa leo. By the way asante sana mkuu na wewe pia Mungu akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele.
YM !
Kula sana mbogamboga, punguza vyakula vya wanga, kwepa vyakula vya mafuta!
Soda kunywa za free sugar (achana na misoda hii ya kawaida) percentages za kukutana mwaka ujao zitaongezeka.
Leo tuna birthday mbili humu ndani, ya Young Master na ya Arushaone.
Happybithday wakuu.
Mimi nina share birthday yangu na Osama bin Laden na Samwel Eto