Happy birthday Young Master

Ha ha haaaa!!! umenifanya nicheke sana mkuu. Asante sana C6 tunakuzimia.
 
Last edited by a moderator:
Kwa maana hiyo twakaa na kuishi jiji hili la chugga aka mabomu city hata siku moko usinijulishe kuwa nepi na mambo mengine tulianza the same date?


Haina maji chal'angu mungu akupe mvua za kutosha!

Happy Birthday Young Master.
 
Last edited by a moderator:
Kwa maana hiyo twakaa na kuishi jiji hili la chugga aka mabomu city hata siku moko usinijulishe kuwa nepi na mambo mengine tulianza the same date?


Haina maji chal'angu mungu akupe mvua za kutosha!

Happy Birthday Young Master.

Mie ningejulia wapi aisee arif...mimi mwenyewe ndo nashangaa leo. By the way asante sana mkuu na wewe pia Mungu akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele.
 
Heri ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa kaka...
 
YM !
Kula sana mbogamboga, punguza vyakula vya wanga, kwepa vyakula vya mafuta!
Soda kunywa za free sugar (achana na misoda hii ya kawaida) percentages za kukutana mwaka ujao zitaongezeka.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…