Ni siku njema sana ambayo Bwana ameifanya...karibuni wengine mliozaliwa siku kama ya leo tujumuike.
Kipekee niwashukuru JF ambao wamekuwa wakinitumia wishes kila mwaka tokea mwaka 2009 nilipojiunga JF rasmi!
Gwamahala.
Richard Mugizi iz in da haaaaus:doh:opcorn:
Happy birthday MUNGU AKUPE MAISHA MAREFUView attachment 272716
Karibu mkuu Mugizi Richard...nimemualika pia ndugu Nyani Ngabu ila bado hajafika!
Ua welcomeThanks much kwa hii cake ndugu Diva Beyonce...ubarikiwe!