tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,964
- 25,196
Namshukuru Mungu kwa afya leo nimetimiza miak 34 tangu nizaliwe. Nawashukuru wazazi pia kwa kunilea na kila kitu toka kwao.
Maisha yangu bado napambana. Hapa nilipo sina
Nyumba, mke wala gari. Ila nitapambana mpaka nipate.
Happy birthday to me.
Maisha yangu bado napambana. Hapa nilipo sina
Nyumba, mke wala gari. Ila nitapambana mpaka nipate.
Happy birthday to me.