Happy birthday to me

Ndo nini kutuwekea uzi halafu ukatuacha!!! Yaani unamkaribisha mgeni sebuleni halafu mwenyeji unapotea!!!!
Ni majukumu darling yananibana.wanaume hawataki juma kaseja
 
Birthdays are a new start, a fresh beginning and a time to pursue new endeavors with new goals. Move forward with confidence and courage. You are a very special person. May today and all of your days be amazing!”

 
We haya lakini sio vizuri kumkaribisha mgeni halafu ukamuacha hapo sebuleni ajihudumie kila kitu,, akibanwa haja inakuwaje sasa!! Ndo kilichotokea hiyo juzi
Ni majukumu darling yananibana.wanaume hawataki juma kaseja
 
Birthdays are a new start, a fresh beginning and a time to pursue new endeavors with new goals. Move forward with confidence and courage. You are a very special person. May today and all of your days be amazing!”

Asante sana BAK..na tafuta maneno mazuri yakukushukuru lkni nakosa...nimejikuta napata furaha ghafla baada ya kusoma comment yako..

Naogopa kuandika mengi nisijeharibu..
Asante.....πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ™
 
We haya lakini sio vizuri kumkaribisha mgeni halafu ukamuacha hapo sebuleni ajihudumie kila kitu,, akibanwa haja inakuwaje sasa!! Ndo kilichotokea hiyo juzi
Naelewa unachosema kapeace wangu..sikuwa na namna uwiii am sorry sweetie
 
Nimeshamzoom tayari..ila naona hajaingia mda kweli.ngoja nianze kumfuatilia my twin
Umeonae mnafanana mnoo sema wewe sio machepele km yeye vinginevyo hapa tungeshasema hii ID ni yeye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…