Habari wana MMU,
Leo si siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu wa kuongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema kabsa.
Mwenyezi Mungu awaomgezee wazazi wangu miaka mingi na heri hapa duniani..
Hakika Mungu ni Mwema na Mkuu wakati wote.!