L luirhu JF-Expert Member Feb 9, 2014 800 412 Dec 9, 2018 #1 Nchi yangu Tanzania imezaliwa siku kama ya leo 9/12/1961 na leo imetimiza umri wa miaka 57 hongera sana Tanzania hongera nchi yangu.
Nchi yangu Tanzania imezaliwa siku kama ya leo 9/12/1961 na leo imetimiza umri wa miaka 57 hongera sana Tanzania hongera nchi yangu.
ISIS JF-Expert Member Apr 20, 2016 96,073 858,529 Dec 9, 2018 #3 Indeed HONGERA SANA MAMA TANZANIA MWENYE ENZI MUNGU AKUPE BARAKA ZAKE ZOTE WALAHI
Granta JF-Expert Member Mar 21, 2014 4,811 6,052 Dec 9, 2018 #4 Hakuna nchi iliyozaliwa siku ya Leo inayoitwa Tanzania. Bali nchi ya Tanganyika.
L luirhu JF-Expert Member Feb 9, 2014 800 412 Dec 9, 2018 Thread starter #5 Granta said: Hakuna nchi iliyozaliwa siku ya Leo inayoitwa Tanzania. Bali nchi ya Tanganyika. Click to expand... Asante mkuu nakubaliana na masahihisho, Ilizaliwa Tanganyika siku kama ya leo(9/12/1961) sio Tanzania
Granta said: Hakuna nchi iliyozaliwa siku ya Leo inayoitwa Tanzania. Bali nchi ya Tanganyika. Click to expand... Asante mkuu nakubaliana na masahihisho, Ilizaliwa Tanganyika siku kama ya leo(9/12/1961) sio Tanzania
L luirhu JF-Expert Member Feb 9, 2014 800 412 Dec 9, 2018 Thread starter #6 Mungu aendelee kuijaalia nchi yetu maisha marefu yenye amani na utulivu
Ushirombo JF-Expert Member Jan 22, 2013 3,557 2,692 Dec 9, 2018 #7 luirhu said: Nchi yangu Tanzania imezaliwa siku kama ya leo 9/12/1961 na leo imetimiza umri wa miaka 57 hongera sana Tanzania hongera nchi yangu. Click to expand... Ni Tanganyika
luirhu said: Nchi yangu Tanzania imezaliwa siku kama ya leo 9/12/1961 na leo imetimiza umri wa miaka 57 hongera sana Tanzania hongera nchi yangu. Click to expand... Ni Tanganyika