Kwa kumbukumbu zangu ambazo naziamini sn tulishakula Happy Birthday ya SL mwezi wa Sita mwaka huuhuu!
Nina mashaka mzee mwenzangu Bishanga ameshikishwa hivi ili agharamie mashono ya gauni la mtindo mpya wa "CHITCHAT" . Ndiyo maisha mkuu wangu ...vumilia.
ha haaaaaaaaa, hii imenikumbusha enzi hizo tupo sekondari kulikuwa na pen-pal, bwana watu walikuwa wakipata pen-pal si wanadanganya bday,i.e. wanataja miezi miwili ijayo ili wapate card na zawadi...........Kwa kumbukumbu zangu ambazo naziamini sn tulishakula Happy Birthday ya SL mwezi wa Sita mwaka huuhuu!
Nina mashaka mzee mwenzangu Bishanga ameshikishwa hivi ili agharamie mashono ya gauni la mtindo mpya wa "CHITCHAT" . Ndiyo maisha mkuu wangu ...vumilia.
ni furaha iliyoje kusherehekea siku ya kuzaliwa mpendwa wetu sweetlady!
Happy birthday sweetlady,
Happy birthday sweetlady,
Happy birthday dear SL,
Happy birthday to you,
Many happy returns for you lovely SWEETLADY!!!!!!!!!!!!!!!!!
ha haaaaaaaaa, hii imenikumbusha enzi hizo tupo sekondari kulikuwa na pen-pal, bwana watu walikuwa wakipata pen-pal si wanadanganya bday,i.e. wanataja miezi miwili ijayo ili wapate card na zawadi...........
my wii wa ukweli sweetlady, njoo huku ututhibitishie hili maana mimi na pacha wako my one and only TANMO tunataka kuanza maandalizi ya bday hii haraka sana
happy birthday ajuza maana huku wote tumeambiwa ni vikongwe
SL hongera!
Mungu akubariki mitoto ya kike chekwachekwa!
Sawaa eeh ?
naona amekuja na kathibitisha kuwa ni kweli. ila sasa maandalizi yanafanywa huko ukweni alikoolewa na nitonye, na wifi yake AshaDii ndo ataandaa. sisi tutakuwa waalikwaNaona Wakuda wamemshtukia Pacha 'angu,, Ila kwa jinsi ninavyomwamini Pacha wangu hawezi fanya huu Usanii...
Ispokuwa Erickb52 tu ndio sio kikongwehappy birthday ajuza maana huku wote tumeambiwa ni vikongwe
Ispokuwa Erickb52 tu ndio sio kikongwe
Halafu nimemmiss huyo kwenye avatala yako lolWee ndo basi tena kikongwe bora yangu mimi ni kikongwe lakini kidogo
The secretary karibu Njombe uyale aiseeumenitamanisha