HAPPY BIRTHDAY MY DAUGHTER ATUGANILE!

HAPPY BIRTHDAY MY DAUGHTER ATUGANILE!

Kwamba kuna njemba itakubali isizagamue mpaka ndoa,??
Ni ushauri mzuri ila linapokuja suala la mapenz na masuala mazima ya mizagamuo, binti sijui kama atachomoa.

Jitahidi kumuombea mzee wangu mabazazi tupo wengi huku mtaani.
 
Ninyi team kataa ndoa hamna aibu shida yenu mzalishe binti zetu halafu mtokomee sasa ni mwendo wa kushauri watoto wetu tumewastukia washenzi sana ninyi
Mimi sio mmoja wao Chief. Mimi lazima nivute jiko, tupike na kupakua. Punguzeni hasira Mkwe!

 
Ushindwe na ulegee, unataka picha ya nini?

Binti yangu hauzi sura kijana 🗯️🗯️
Sasa mbona umekuja kumtangaza huku?
Si ungemute tu anko, ukamwita mtoto sebleni ukampa hii risala?
 
Kwamba kuna njemba itakubali isizagamue mpaka ndoa,??
Ni ushauri mzuri ila linapokuja suala la mapenz na masuala mazima ya mizagamuo, binti sijui kama atachomoa.

Jitahidi kumuombea mzee wangu mabazazi tupo wengi huku mtaani.
Nimemuweka sawa leo, hakuna mlango wa bazazi yeyote kuchezea Atu wangu
 
Lazima tuyatokomeze hayo mashetani

Niliweka kijana kutoka songea dukani auze sikua naona vijana vijana, nilipomruhusu binti yangu aliemaliza masomo nikaona vijana taratibu wanaanza kua wengi na kijiwe cha boda boda kikaanzishwa, nilishtuka haraka naona wamehamia kwa assey eti mimi mkorofi kumbe yalikua yanamendea binti yangu,
 
Sasa mbona umekuja kumtangaza huku?
Si ungemute tu anko, ukamwita mtoto sebleni ukampa hii risala?
Huu ushauri hauwezi kumsaidia binti yako?

Nimeuweka hapa makusudi ili atakayeona unamfaa bintiye basi achukue na ampelekee.

Wazazi wengi ni wavivu sana kushauri binti zao.
 
Sidhani kama atazingatia hayo tena ndio yuko 18 age mbaya kbsa always wanataka kujaribu kila kitu.... Damu zinawachemka

Ungempa tu elimu ya self awareness then uko kwingine ataamua mwenyewe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom