Kwa heshima na taadhima napenda kukutakia heri ya kuzaliwa leo................
Mungu akupe maisha marefu akupe uhai uishi miaka zaidi ya hii unayotimiza leo
Uwe na siku njema na usherekee salama...........
Happy Birthday my Brother Mohamed Shossi
Dada yako DA
Ohhhhhh waooo
Happy Birthday mkuu.
Ni kitambo hatujakuona hapa jamvin.
Hopeful kila kitu ki sawa upande wako.
rudi naomba usipotee sana hivyo si vema.
Nikutakie siku njema na zawadi ntakupa ..
Hongera mkuu kwa siku hii ...
Kwa heshima na taadhima napenda kukutakia heri ya kuzaliwa leo................
Mungu akupe maisha marefu akupe uhai uishi miaka zaidi ya hii unayotimiza leo
Uwe na siku njema na usherekee salama...........
Happy Birthday my Brother Mohamed Shossi
Dada yako DA