Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Happy birthday to you Kabakabana
Last edited by a moderator:
Unaweza kushangaa asiibuke kwa jinsi alivyopotea hapa jukwaani HB Kabakabana.
Na akija itakuwa kama wale jamaa wanaopokezana kwenye mieleka, atafanya fujo balaa mjiandae.
happy birthday..
Happy birthday to you Kabakabana
Happy birthday bishostito wewe Kabakabana
Thank u so much My bro Nicas, In the middle of the dark u have brought the light again.Thanks,
Nimeshakuja hope uko poa ndugu yangu
waveja kulumba Kabakabana. Nimefurah sana kukuona mahali hapa.. Usiadimike sana jamani. Babu Asprin naye anataka ku R.I.P kisa hajakutia machoni.
Happy b'day Kebby
Asante Kaby!Thanx Erick nipo tu home aisee sijajua hata,karibu
Asante Kaby!
Ntakaribia ukiandaa pilau lol nakuja na ndofu zangu mbili tu za jumamosi hii siunajua fanta zilinisababishia ugonjwa
Si ule wa kunanii Kabakabana
Lol kuna watoto humu acha nipotezee
Nipo babu,,vipi za kwako?unaendeleaje na kukagua wajukuu?
Waooow! Hatimaye umefufuka kama ulivyosema.
Leo tuko kwenye bethdei bana, mambo ya ukaguzi yanatokea wapi?
Waeza mwambia babu kwanini umempotezea namna hii?
Maisha ndo yanafanya tunapotea humu but leo nimerelax just at home.
Karibu sana