Happy Birthday JK!

Mh. Rais tunakutakia kila lakheri ktk siku yako hii ya kuzaliwa. Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehma akujalie afya tele, hekma, moyo wa upendo kwa wote na huruma kwa wanao mis-behave eti kwa mwamvuli wa democrasia na uhuru wa kuongea.Tunamwomba akujalie 50yrs nyingine ili tuwe pamoja tutakapokuwa tunasherehekea miaka 100 ya uhuru wa TANGANYIKA.Selah.
 
Mh. Rais tunakutakia kila lakheri ktk siku yako hii ya kuzaliwa. Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehma akujalie afya tele, hekma, moyo wa upendo kwa wote na huruma kwa wanao mis-behave eti kwa mwamvuli wa democrasia na uhuru wa kuongea.Tunamwomba akujalie 50yrs nyingine ili tuwe pamoja tutakapokuwa tunasherehekea miaka 100 ya uhuru wa TANGANYIKA.Selah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…