Happy birthday Halima J.Mdee

Happy birthday dear Halima,nakutakia maisha marefu yenye mafanikio zaidi.
 
Happy Birthday jembe Halima Mdee!:violin::violin::violin::violin::violin::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::yo::yo::yo::yo::yo:
 
Mimi naishi Arusha. Ya Kinyerezi yananihusu kweli?

Mussa allan toka asubuh nilikuwa sijacheka nimecheka sana.aisee msalimie kamanda Lema bana useme tena upo safarini Tabora huwezi mwona.
 
Vipi mkuu...UNataka kutotolesha?? SubiRi amalize kazi tuliyomtuma wa kawe!!!ok??hbd madame

kwa kweli mungu ambariki huyu mdada kiukweli anaweza then mchapakazi na alikataa kuyumbishwa kisiasa na anaamini ana msimamo wa dhati kabisa na ni mtii pia kwa viongozi wake anaheshimu maamuzi ya chama.bigup lady.
 
Happyyyy Birthday Kamanda wetu. Mungu akupe miaka mingi ya kuishi ili uendeleze mapambano mpaka kieleweke.
 
Mimi naishi Arusha. Ya Kinyerezi yananihusu kweli?

CCM ingekuwa imeshinda usingekuwa wa kwanza kuweka hapa. Kwa kuwa mmeangukia kichwa na shingo kuvunjika unajida unaishi AR mkuu? Tehe tehe. Na ya Oktoba mtayakimbia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…