Happy Birthday Dr. W. Slaa

mungu azidi kukupa nguvu ya kuwapigania wanyonge.
 
usishangae kusikia ametumia mil 200 kwenye bday yake hiyo ndo cdm tuitakayo teh teh teh
 
Happy Birthday Jembe! toka uwakimbize ccm 2010,Saa hizi wanahaha kukimbizana na Ahadi hata kama hazitekelezeki.Tunakuombea maisha marefu ili tuone nchi yetu ikibadilika.
 
EE Mungu Muumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo twakuomba umjalie DR. SLAA afya njema hekima na busara na Pia Umwongezee Maisha marefu ili aweze kutumikia vyema wananchi wa Tanzania.Tunaomba na kuamini kuwa kupitia nafasi yake na chama anachokiongoza kutapatikana Tanzania njema yenye kutenda haki na pasipo dhuluma kwa wananchi.
 
ohoo hongera mkuu kamanda wa cdm happy birthday Dr. W Slaa
 
Mungu akujaze nguvu na afya zaidi jemedari!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…