Happy birthday Chama Cha Mapinduzi

Ni CCM pekee yenye maono na nchi hii,mambo yanayojitokeza ni hali ya kawaida kula nchi inapitia.....Sioni Taasisi imara kama CCM,Kuna vyama vina viongozi wasiobadilika kwenye Post zao unajiuliza,hawa watu wana-katiba kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…