Happy birthday Chama Cha Mapinduzi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Mungu wa Mbinguni ibariki CCM

5/2/1977

Kwaya ya Wanafunzi Milongo Primary School Mwanza

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
 
Mungu wa Mbinguni ibariki CCM

5/2/1977

Kwaya ya Wanafunzi Milongo Primary School Mwanza

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
CHAMA CHA WEZI, MAFISADI , WEZI WA MENO YA TEMBO, WEZI WA KUUZA BANDARI, WEZI WA HAKI ZA BINADAMU, WAUAJI WA BEN , MAWZO AQUILINA , COCOC BEACH SANDARUSI. ZA MAITI.......ETC ETC HONGERA KWA SIKU YENU
 
Wacha tujiselebreti tu.

Kutoa TShs. 2.7 billioni si mchezo na Safari hii wapokeaji hawakuzira.

Maselebresheni mpaka Ufipa.

CCM Oyee.
 
Yaani MUNGU abariki CCM aisee mnampa Mungu kazi asiyehusika nayo kabisa ila kwa kuwa hamna akili hata moja
 
Moja ya mafanikio makubwa ya CCM ni kufanikiwa Kwa kiasi kikubwa kushindwa kutokomeza wale maadui watatu ujinga, maradhi na umasikini.
 
Hiyo ni duniani kote

Wajinga wapo, Maskini wapo na Wagonjwa wapo

Tunazungumzia zaidi ya 60% ya population wanaopambana na hizo shida, huko kwingineko unakuta ni chini ya 5% tena wengi Kwa kujitakia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…