Happy belated birthday our PRESIDENT JK....

Greater thinker

JF-Expert Member
Sep 12, 2011
286
38
kutokana na majukumu ya hapa na pale,nlshndwa ku kuwish prezidaa we2 Jk..mungu akubarik na akuzdshie neema nyng,hekima ,busara,utendaj wako wa kaz, na auzdshe ya zaid ulionayo...na m/mungu atawalaan kwa wale wote wacokupenda,kuthamini,na kuku2kana ovyo bla makosa na awazdshie wale wanaokupenda,kukujal,kukuheshmu,na wanao kurekebsha pale unapokosea...na akuepushe na ajal ukiwa safarin(za ndan na nje)..umri huo unakuwa our prezdaa i blv na utendaj wako wa kaz unakuwa pia...61 YRs bt u luk still handsome...HAPPY BELATED BIRTHDAY N WE (JF) LUV U OUR PRESIDENT!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom