Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,045
<br />Kwetu upo wik hii yote
hiyo mzee afadhali kuwa kimya tu mana jamaa wa tanesco wamo humu!!<br />
<br />
Mkuu wapi huko? Najua Ikulu na Mochwari zote ndo haukatiki. We uko wapi kati ya sehemu hizo?
<br />kwetu wanaogopa kuukata.............<br />
kila siku upo, mi mfawo huwa nausikilizia kwenu tu.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/peace.gif" border="0" alt="" title="Peace" smilieid="238" class="inlineimg" />