jamani hapa ukerewe umeme hamna kama siku tatu,tumewagasi tanesco wamesema eti waya wa umeme unaopita chini ya ziwa umeliwa na mamba hadi kukatika.nashangaa hamna mamba aliyepigwa shoti wala kizilai.lakini hiyo sehemu wanayosema kuna mamba kweli na ukienda mida ya saa nne asubuhi anawaona wameota jua.sasa tanesco walijuaje pale waya umekatika?.mimi sijaamini.mia