Hapana huyu si kioo cha jamii!

nimie

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
525
104
Tatizo la kulanduka bana, sasa jamaa mbona anadhalilisha wanaume, wasanii, wanandoa na marasta! kiboxer chenyewe kichafu! Eti aliimba yeye ni kioo cha jamii.
View attachment 47530
 
Bado ni kioo cha jamii......tatizo kioo hiki kinamuonyesha kwetu mvuta bangi asiyefaa kuigwa.
 
Tatizo la kulanduka bana, sasa jamaa mbona anadhalilisha wanaume, wasanii, wanandoa na marasta! kiboxer chenyewe kichafu! Eti aliimba yeye ni kioo cha jamii.
View attachment 47530
Hiki ndio kioo cha jamii kweli kweli,nyie mnaobisha hamjui mnabisha nini,nadhani hamjui tabia za kioo,kioo kinaonyesha uzuri na ubaya wa kila ajitazamaye,sasa huyu kaonyesha kuwa pia kuna jamii ya dizaini hii,kioo ni tofauti na sabuni jamani,sabuni kazi yake ni kusafisha tuu,na kioo ni kuonyesha picha halisi,kama kuna uchafu uonekane na usafi vilevile!!Acha kubisha bisha kitu usichokijua hoyaaaa nalimbikisa ujingaaa eee,Mbadoooooooo!!!!
 
Tatizo la kulanduka bana, sasa jamaa mbona anadhalilisha wanaume, wasanii, wanandoa na marasta! kiboxer chenyewe kichafu! Eti aliimba yeye ni kioo cha jamii.
View attachment 47530

Duuuu, mkuu picha ya mwaka 2001 hii pale diamond jubulee, sikumbuki ilikuwa ni new year eve au lile shindano la mfalme wa rhymes! Kaka tafuta na ile ya kale kademu kalikonogewa na vibao vya shaggy hadi kakaonyesha chuchu zake, unakumbuka lile tuko pale diamond jubilee? Sijui kako wapi kale kabinti aisee!
 
Duuuu, mkuu picha ya mwaka 2001 hii pale diamond jubulee, sikumbuki ilikuwa ni new year eve au lile shindano la mfalme wa rhymes! Kaka tafuta na ile ya kale kademu kalikonogewa na vibao vya shaggy hadi kakaonyesha chuchu zake, unakumbuka lile tuko pale diamond jubilee? Sijui kako wapi kale kabinti aisee!

Uliona eeeh, kumbe mwana ulikuwepo? Duh lakini sikuipata kwa picha ile move, tusubiri labda kuna mtu anayo atusaidie kuitupia hapa.
 
Uliona eeeh, kumbwe mwana ulikuwepo? Duh lakini sikuipata kwa picha ile move, tusubiri labda kuna mtu anayo atusaidie kuitupia hapa.

Duhhh aliimba kioo cha jamii loohhhh
si bora angeimba "I'M SEX & I KNOW IT "

Aisee hata nyie mlikuwepo, ilikuwa safi sana aisee ila nilikuwa naboreka na zile foleni za kutoka baada ya tamasha kwisha. huwa inakuwa noma kweli aisee. Kako wapi kale kabinti kajamaica-au watu ndo walisha kaharibu, halafu nilisikia dingi wake alikuwa mtu wa dini kinoma!
 
Aisee hata nyie mlikuwepo, ilikuwa safi sana aisee ila nilikuwa naboreka na zile foleni za kutoka baada ya tamasha kwisha. huwa inakuwa noma kweli aisee. Kako wapi kale kabinti kajamaica-au watu ndo walisha kaharibu, halafu nilisikia dingi wake alikuwa mtu wa dini kinoma!

Sina hakika na kalipo, lakini wabongo utawaweza huenda walikapitia kama mwewe! ya dini kila mtu atabeba mzigo wake mkuu!
 
Back
Top Bottom