Kila jambo mara nyingi linakuwa na sababu, sisi waafrika tumeumbwa wagumu sana kwa kupatwa na maradhi kirahisi rahisi kutokana na mazingira.
Hebu jiulize swali dogo hapa, Mwendawazimu anao uwezo wa kula vyakula vilivyoharibika, hata vile vya majalalani lakini hadhuriki. Sasa jaribu wewe mzima uone balaa lake