Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 256
*HII IMENIGUSA by Mutakyahwa Kijoka (FB)*
*Kulikuwepo msichana kipofu[emoji41] aliyechukia na kujichoka sana.*[emoji33]
*Alimchukia kila mtu isipokuwa mchumba wake. Mara zote alikuwa karibu naye.*[emoji35]
*Msicha huyo alimwambia mchumba wake, 'Kama ningebahatika kidogo[emoji6], ningekubali kuolewa na wewe.'*[emoji132]
*Siku moja, mtu ambaye hakumjua alimfadhiri macho 2.[emoji120] Alipoondolewa bandeji kwenye vidonda na macho kupona kabisa, alifurahi kuona kila kitu, ikiwemo mchumba wake wa kiume.*[emoji15]
*Mchumba wake alimuuliza, sasa unaona kila kitu, ukubali kuolewa na mimi?'* [emoji132]
*Msichana Mwenye kuona sasa, alimgeukia mchumba wake na kugundua naye alikuwa Kipofu.[emoji41] Ule mwonekano wa macho yaliyofumbwa kwa upofu,[emoji58] yalimtisha msichana yule.[emoji134]♂ Msichana yule hakutegemea hivyo. Ile fikra ya kuona mwinekano ule [emoji43] wa upofu ulimfanya Msichana akatae[emoji135]♂ kuolewa na yule mvulana kipofu[emoji24].*
*Mchumba wake aliondoka kwa kilio na baada siku chache badae alimwandikia Msichana huyo kijibarua ✍ ukisema: 'Yajali sana macho yako, rafiki yangu, si unaona sasa ni macho yako, hapo awali yalikuwa yakwangu.'*[emoji31]
*Hivi ndivyo ubongo wa binadamu yeyote kufanya kazi pale kipato, cheo au aina yoyote ya fursa pindi inapojitokeza.*[emoji123]
*Ni wachache tu hukumbuka maisha yaliyopita, na kukumbuka wale walikuwa karibu yao wakati wa shida na maumivu.*[emoji120]
*Maisha ni Zawadi*[emoji512][emoji403][emoji320][emoji320]
*Kuanzia sasa kabla hujaongea maneno yasiyo ya huruma -*[emoji57]
*Mfukirie Bubu au asiyeongea.*[emoji40]
*Kabla hujalalamikia radha mbaya ya chakula kilicho mbele yako [emoji507] - Mfikirie mtu asiye na chakula [emoji20].*
*Kabla hujalalamika kuhusu mume au mke wako [emoji127] - Mfikirie anaye mlilia MUNGU apate mume au mke ila hajapata.*[emoji138]♂
*Leo hii kabla hujalalamika kuhusu maisha au kuishi -*[emoji83]
*Mkumbuke fulani aliyekufa akiwa kichanga au kabla ya kuzaliwa.*[emoji24]
*Kabla hujalalamika kuhusu Watoto wako -*[emoji67][emoji67][emoji66][emoji66]
*Mfikirie yule ambaye angetaka kuwa na mtoto lkn ni tasa au mgumba.*[emoji137][emoji137]♂
*Leo hii kabla hujalalamika kuhusu uchafu wa nyumba ambao haujafanywa na mtu fulani -*[emoji553][emoji544][emoji542][emoji536]
*Wafikirie wale wanaolala mitaani kwenye mitaro, magofu, nk.*
*Kabla hujajisikia kuçhoshwa na kuendesha umbali mrefu*[emoji593][emoji596]
*Mfikirie anayetembea kwa mguu umbali huo huo.*[emoji124]♀
*Nawakati unapochoka na kulalamikia kazi yako -*[emoji36]
*Wafikirie wale wasio na ajira, wenye lemavu na wale wanaoitamani kazi uliyonayo-*[emoji124]
*Kumbuka sote tu watenda dhambi na tunawajika kwa MUUMBA*[emoji318]
*Na wakati maoni mbaya wanapokuingia kumbuka -*
*Mtangulize Mungu aliyeahi na karibu yako.*
*Na kabla hujafunga huu Ujumbe, tafadhari, watumie watu wengineo wengi au share ili nao wafurahie... Waweza kubadirisha mtazamo kuhusu maisha.*
*Imetafisiriwa na Mutakyahwa Kijoka (fb).*
*Kulikuwepo msichana kipofu[emoji41] aliyechukia na kujichoka sana.*[emoji33]
*Alimchukia kila mtu isipokuwa mchumba wake. Mara zote alikuwa karibu naye.*[emoji35]
*Msicha huyo alimwambia mchumba wake, 'Kama ningebahatika kidogo[emoji6], ningekubali kuolewa na wewe.'*[emoji132]
*Siku moja, mtu ambaye hakumjua alimfadhiri macho 2.[emoji120] Alipoondolewa bandeji kwenye vidonda na macho kupona kabisa, alifurahi kuona kila kitu, ikiwemo mchumba wake wa kiume.*[emoji15]
*Mchumba wake alimuuliza, sasa unaona kila kitu, ukubali kuolewa na mimi?'* [emoji132]
*Msichana Mwenye kuona sasa, alimgeukia mchumba wake na kugundua naye alikuwa Kipofu.[emoji41] Ule mwonekano wa macho yaliyofumbwa kwa upofu,[emoji58] yalimtisha msichana yule.[emoji134]♂ Msichana yule hakutegemea hivyo. Ile fikra ya kuona mwinekano ule [emoji43] wa upofu ulimfanya Msichana akatae[emoji135]♂ kuolewa na yule mvulana kipofu[emoji24].*
*Mchumba wake aliondoka kwa kilio na baada siku chache badae alimwandikia Msichana huyo kijibarua ✍ ukisema: 'Yajali sana macho yako, rafiki yangu, si unaona sasa ni macho yako, hapo awali yalikuwa yakwangu.'*[emoji31]
*Hivi ndivyo ubongo wa binadamu yeyote kufanya kazi pale kipato, cheo au aina yoyote ya fursa pindi inapojitokeza.*[emoji123]
*Ni wachache tu hukumbuka maisha yaliyopita, na kukumbuka wale walikuwa karibu yao wakati wa shida na maumivu.*[emoji120]
*Maisha ni Zawadi*[emoji512][emoji403][emoji320][emoji320]
*Kuanzia sasa kabla hujaongea maneno yasiyo ya huruma -*[emoji57]
*Mfukirie Bubu au asiyeongea.*[emoji40]
*Kabla hujalalamikia radha mbaya ya chakula kilicho mbele yako [emoji507] - Mfikirie mtu asiye na chakula [emoji20].*
*Kabla hujalalamika kuhusu mume au mke wako [emoji127] - Mfikirie anaye mlilia MUNGU apate mume au mke ila hajapata.*[emoji138]♂
*Leo hii kabla hujalalamika kuhusu maisha au kuishi -*[emoji83]
*Mkumbuke fulani aliyekufa akiwa kichanga au kabla ya kuzaliwa.*[emoji24]
*Kabla hujalalamika kuhusu Watoto wako -*[emoji67][emoji67][emoji66][emoji66]
*Mfikirie yule ambaye angetaka kuwa na mtoto lkn ni tasa au mgumba.*[emoji137][emoji137]♂
*Leo hii kabla hujalalamika kuhusu uchafu wa nyumba ambao haujafanywa na mtu fulani -*[emoji553][emoji544][emoji542][emoji536]
*Wafikirie wale wanaolala mitaani kwenye mitaro, magofu, nk.*
*Kabla hujajisikia kuçhoshwa na kuendesha umbali mrefu*[emoji593][emoji596]
*Mfikirie anayetembea kwa mguu umbali huo huo.*[emoji124]♀
*Nawakati unapochoka na kulalamikia kazi yako -*[emoji36]
*Wafikirie wale wasio na ajira, wenye lemavu na wale wanaoitamani kazi uliyonayo-*[emoji124]
*Kumbuka sote tu watenda dhambi na tunawajika kwa MUUMBA*[emoji318]
*Na wakati maoni mbaya wanapokuingia kumbuka -*
*Mtangulize Mungu aliyeahi na karibu yako.*
*Na kabla hujafunga huu Ujumbe, tafadhari, watumie watu wengineo wengi au share ili nao wafurahie... Waweza kubadirisha mtazamo kuhusu maisha.*
*Imetafisiriwa na Mutakyahwa Kijoka (fb).*