Kwakifupi CHADEMA HATUWATAKI.... Hatuwezi kumbatia wezi wenye kunyanyasa wananchi wa Tanzania... hivi kweli Tanzania ya leo ni ya kudanganya watu na kanga na kofia???? CHADEMA tumesema hatuna uwezo wa kuhonga t-shirt, kanga na kofia, ila tuna muda wa kupambana na mafisadi..... CHADEMA CHADEMA ---- PEOPLE'S POWER....