Hapa ni Wapi?

Hiyo ni clock tower mbele kidogo, hapo kushoto ni ile public toilet na sehemu ya kupumzikia watu.
 
samora jengo unaloona mbele ni choo cha city kushoto na benki ya NBC kulia. Mpiga picha alisimama karibu na Clock Tower kwenye zebra. Hiyo njia anayotokea mwendesha mkokoteni inaingia stesheni.
Sawa mkuu asante sana.
 
Dadeki
Mitaa yangu hiyo enzi hizo natembea kwa miguu posta kariakoo
 
Haha.
Picha nzima umewaona wao tu itakua wanakukera sana.
Hao jamaa ni kero sana asee, nimejaribu kuangalia kitu ambacho hakipo mikoa mingine ambacho kipo Dasalamu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…