Ila ReV umesahau kitu,
Kuna wadada ambao walikuwa ni wachezaji ngoma na muziki wazuri sana enzi zetu za shule. Mtu ungedhani ni mcharuko wa kutupa...Sasa hivi wengine wameshapata PhD na wale waliojifanya watawa wanalea wajukuu tena kutoka kwa multiple fathers!
I would want to give her a benefit of doubt, at least for now!!
Babu DC!