Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Miundo mbinu ya Jiji ni tatizo
Miundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Una mawenge sana msubhatiMbona hata California ni hivi hivi? Watanzania tupunguze ujuaji.
Kumbe nkuhungu ni bonde la mpunga...Safi Sana Mleta Thread hili ni eneo lipo Nkuhungu mitaa ya Ntube Kila msimu wa Mvua ni Maji tu.Serikali na Mbunge wa Dodoma hebu Fanya Ziara ya Nkuhungu ukajionee.Hali ni Mbaya Hiyo Sehemu ni shida Sana.
Jangwani seabreezeMiundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Kwa hiyo ni sawa tu kwa kuwa California kupo hivyo? Mbona unatawaliwa na ukoloni kichwani?Mbona hata California ni hivi hivi? Watanzania tupunguze ujuaji.
Nkuhungu ni jijini, Masaki ni manispaaMiundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Kata ya Nzuguni karibia eneo lote barabara zake zimejaa mashimo na madimbwi ya maji!! Ukienda Michese nako maji yanajipitia tu juu ya barabara ya vumbi!!Safi Sana Mleta Thread hili ni eneo lipo Nkuhungu mitaa ya Ntube Kila msimu wa Mvua ni Maji tu.Serikali na Mbunge wa Dodoma hebu Fanya Ziara ya Nkuhungu ukajionee.Hali ni Mbaya Hiyo Sehemu ni shida Sana.
🙄🙄Miundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Nasikia amewapa Gari la kisasa la Kubeba Maiti.Kata ya Nzuguni karibia eneo lote barabara zake zimejaa mashimo na madimbwi ya maji!! Ukienda Michese nako maji yanajipitia tu juu ya barabara ya vumbi!!
Halafu Mbunge wake ni Kijana! Lakini hakuna kitu! Madiwani wenyewe wote wa ccm hakuna wanacho fanya! Kuna Jiji jina tu.
Hahaha kuna mjinga hapo juu ameandika ulichotabiriWatakwambia hata California ni hivi hivi.
fursa hii mkuu fugeni kambale hapoMiundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Nadhani bei ya viwanja itakuwa juu sana sawa na vya Oysterbay, Masaki, Kunduchi, Mbezi Beach na Kigamboni.Miundo mbinu ya Jiji ni tatizoView attachment 1719400
View attachment 1719401
View attachment 1719402
Wamechukua Ikulu,
Wamehamishia Wizara Zote,
Wametupokonya Jiji,
Sasa hivi wanatuibia hadi Mafuriko ya Jangwani,
Tumewakosea nini sisi wakazi wa Dar?