Hapa mkoa Gani

Hapa mkoa Gani

Freeland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
14,481
Reaction score
10,233
33.jpg 44.jpg 11.jpg




Kwa wale wataalam wenye hobby ya kusafiri...Hapa ni mkoa gani?
 
wataalam wenye hobby ya kusafiri????? unasomewa wapi huo utaalam wa hobi ya kusafiri mkuu
 
Singida hapo... Picha ya kwanza ni pale njia panda ya kwenda Dodoma na Tabora, Mwanza
 
wataalam wenye hobby ya kusafiri????? unasomewa wapi huo utaalam wa hobi ya kusafiri mkuu

Waulize hao wataalam waliojibu watakuambia fasta..na wewe ukasome
 
mmekosea wote hii ni njombe

Sio njombe, hata taaluma ya photo interpretation ulishasahau kama ni Njombe, mbona hao raia hawajavaa makoti ya baridi. Hiyo Singapore hiyo. Angali hiyo picha ya chini hao vijana wawili wana sura za Singapore.
 
Singiga hii mkuu, hapo juu kanisa la KKKT, hapo Kati stand ya Isuna.
Swadata, Singida kwetu, naona kanisa la msalaba mrefu pale, na stand ya ISUNA. wajifya mnyampaa mshana jr. Songela zigzig...!!!!!!!!!
 
Nimepasahau kidogo wakipataja barabara nitapakumbuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom