ganda la mua la jana
Member
- Jan 12, 2015
- 27
- 10
Hivi kumfanya Lowassa kwa kipindi kifupi kuendana na mfumo wa CHADEMA na UKAWA. Mfumo ambao hata UKAWA wenyewe bado unawasumbua. Akipewa nchi katika hali hiyo ataweza kubadilisha chochote au atakuwa bora liende?
Nawaza kwa sauti tu wapendwa, naomba mnisaidie kuwaza please.
Nawaza kwa sauti tu wapendwa, naomba mnisaidie kuwaza please.