Hapa kuna mapenzi ya kweli?

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Ndugu zangu unakuta mara ya kwanza kwenye uhusiano kuna kuwa na upendo wenye nguvu zaidi.Na kila mtu anakuwa anamfurahia mwenzake wanapokuwa pamoja.
But kinachonikera mpenzi wangu ana tabia ya kujisifu ye ni mzuri na kuwa na madharau sana,unakuta kila saa akikutana na watu yeye nikujisifia tu na pia unakuta anapagawa na sifa anazopewa na watu,mi nadhani unaweza ukasifiwa sometimes but wewe mwenyewe ujishushe.
tangu nilipoona hiyo tabia ya kujisifu nikaona anafanya madharau flani na sio kama mwanzoni,mwanzoni tukikoseana tunaombana msamaha na yanaisha.siku hizi hakuna tena hizo tabia ameshajiwekea imani kwamba nikimkosea au amenikosea mi ndo wa kumtafuta na bado tutalumbana,kuvutana maneno na mengine.
Hivi hapo kuna kitu nyuma ya panzia?au kitu gani cha msingi cha kufanya au kujihadhari.
 
Mpaka hapo ujue sifa zimemlevya ana anaamini huoni wa wala hisikii juu yake.Mawazo yake ni kwamba uzuri wake unakubabaisha hivyo huna jeuri ya kumuacha...mpige biti kidogo arudi kwenye mstari!Ila kama hakupendi hiyo biti itageuka kibuti maana hatajali atakwambia poa tu aishie zake!
 
Amelewa sifa huyo!
Jaribu kumweleza anavyokukera na hayo mabadiliko yake. Kama anakupenda atabadilika! Mwambie uzuri wa mwanamke sio sura.
 
Mpaka hapo ujue sifa zimemlevya ana anaamini huoni wa wala hisikii juu yake.Mawazo yake ni kwamba uzuri wake unakubabaisha hivyo huna jeuri ya kumuacha...mpige biti kidogo arudi kwenye mstari!Ila kama hakupendi hiyo biti itageuka kibuti maana hatajali atakwambia poa tu aishie zake!

Tatizo nilishampiga biti na kumweleza,kila ninapomweleza anadai namwonea au nimemchoka na eti namshauri kama mtoto mdogo
 
Amelewa sifa huyo!
Jaribu kumweleza anavyokukera na hayo mabadiliko yake. Kama anakupenda atabadilika! Mwambie uzuri wa mwanamke sio sura.

Nimweshamweleza imefika kiasi kwamba nikimweleza kama naongeza matatizo
 
Ndugu zangu unakuta mara ya kwanza kwenye uhusiano kuna kuwa na upendo wenye nguvu zaidi.Na kila mtu anakuwa anamfurahia mwenzake wanapokuwa pamoja.
But kinachonikera mpenzi wangu ana tabia ya kujisifu ye ni mzuri na kuwa na madharau sana,unakuta kila saa akikutana na watu yeye nikujisifia tu na pia unakuta anapagawa na sifa anazopewa na watu,mi nadhani unaweza ukasifiwa sometimes but wewe mwenyewe ujishushe.
tangu nilipoona hiyo tabia ya kujisifu nikaona anafanya madharau flani na sio kama mwanzoni,mwanzoni tukikoseana tunaombana msamaha na yanaisha.siku hizi hakuna tena hizo tabia ameshajiwekea imani kwamba nikimkosea au amenikosea mi ndo wa kumtafuta na bado tutalumbana,kuvutana maneno na mengine.
Hivi hapo kuna kitu nyuma ya panzia?au kitu gani cha msingi cha kufanya au kujihadhari.


Mpenzi wako ni mshamba na limbukeni.... na tayari wakuzungukao/marafiki wanajua ni jinsi gani wa kumlevya na kumkuza kichwa,,, na mtu yeyote yule anaekuletea dharau hali wewe ni mpenzi wake ina maana mapenzi yameisha... siamini kua mtu waweza dhubutu mdharau mtu unaempenda... Na inaonesha bado wampenda but ujue kua fro a relationship to work it takes two...
 
Mpenzi wako ni mshamba na limbukeni.... na tayari wakuzungukao/marafiki wanajua ni jinsi gani wa kumlevya na kumkuza kichwa,,, na mtu yeyote yule anaekuletea dharau hali wewe ni mpenzi wake ina maana mapenzi yameisha... siamini kua mtu waweza dhubutu mdharau mtu unaempenda... Na inaonesha bado wampenda but ujue kua fro a relationship to work it takes two...
Asha D,mi mwanzoni nilikuwa nampenda but tangu alipoanza hiyo tabia na madharau halafu hata nikiweza hanielewi nilishaweka mguu nje mguu ndani,but tatizo hata nikimweleza anadai namwonea,au anaanza kusema namtafutia kisingizio nimwache wakati ndo ukweli navyomweleza
 
Asha D,mi mwanzoni nilikuwa nampenda but tangu alipoanza hiyo tabia na madharau halafu hata nikiweza hanielewi nilishaweka mguu nje mguu ndani,but tatizo hata nikimweleza anadai namwonea,au anaanza kusema namtafutia kisingizio nimwache wakati ndo ukweli navyomweleza
Achana na mambo ya mguu nje na ndani. Chukua maamuzi yatakayoupa furaha moyo wako.
 
Asha D,mi mwanzoni nilikuwa nampenda but tangu alipoanza hiyo tabia na madharau halafu hata nikiweza hanielewi nilishaweka mguu nje mguu ndani,but tatizo hata nikimweleza anadai namwonea,au anaanza kusema namtafutia kisingizio nimwache wakati ndo ukweli navyomweleza


Excellent roho ikishaamua kuacha haitakiwi umwambie mpenzi wako kua nakuacha sababu una tabia mbaya... NO kama bado anakuhitaji atakwambia nitajirekebisha na sababu hakuna mapenzi ya kweli atajifanya kurekebika lakini asirekibike... We inatakiwa umwambie direct kua nakuacha sababu sikutaki!

Na kama huyo mpenzi wako anakudharau alafu ukimwambia muachane hataki either;

  1. Yuko insecure hanaga amani mpaka awe na mtu hivyo anasubiri akipata ndo muachane..
  2. Labda unampa saana support na kwa kiasi fulani dependent on you, hivyo anaona hawezi kukuachia ili aendelee kunufaika
  3. Ina wezekana hakukubali but katika sector ya sex you are good.
  4. Au kweli anakupenda in his/her on way ila ndo wale watu selfish hujiangalia wao wenyewe
BUT what ever the case sababu hizo hapo juu zoote hazifai mpenzi wako awe nazo kama nawewe unataka uwe na amani,,,
 
dah! Pole sana best inaonyesha amejua uzaifu wako wote juu yake na ndo mana anauwezo wa kufanya lolote juu yako hvyo kinachotakiwa wewe ni kujiweka tofaut na mwanzo huku ukiwa unamwangalia muelekeo wake pole sana mana ukiona hatua hyo imewadia anza na wewe kupaki kidumu mapema ili akirud kwenye mstar mnakwenda pamoja
 
Pole sana ndugu yangu.Kwanza inaonekana kuwa umeshakuteka,uko chini ya himaya yake.Maana kwa kawaida wanawake wapenda kucontrol,hivyo umeshajiingiza kwenye controling yake.Mmeishi kama mume na mke wakati hujakamilisha zoezi kama kujitambulisha na yeye kuweza kukubalika kwenu.Jaribu kumweka na dada zako au mama yako mzazi halafu usikilize comment zao.Ikiwa na wao wataona uonavyo wewe achana naye tafuta wa kaliba yako hamtaweza kuishi pamoja kwa maisha yenu yote.

Ikiwa ni mkristo usiingie mkenge kwa kujaribu ukifikiri atabadilika baadaye.Huo ndio utakuwa mwisho wa ndoto zako.USIINGIZE HURUMA kwenye suala nyeti kama hili.
 
dah! Pole sana best inaonyesha amejua uzaifu wako wote juu yake na ndo mana anauwezo wa kufanya lolote juu yako hvyo kinachotakiwa wewe ni kujiweka tofaut na mwanzo huku ukiwa unamwangalia muelekeo wake pole sana mana ukiona hatua hyo imewadia anza na wewe kupaki kidumu mapema ili akirud kwenye mstar mnakwenda pamoja

Murefu yeye kujua hizo weakness ndo imekuwa tatizo,na kiasi flani nikaangalia huo mwenendo ni kama mtu anayewaza kwamba hata tukiachana kuna tatizo gani
 
Pole sana ndugu yangu.Kwanza inaonekana kuwa umeshakuteka,uko chini ya himaya yake.Maana kwa kawaida wanawake wapenda kucontrol,hivyo umeshajiingiza kwenye controling yake.Mmeishi kama mume na mke wakati hujakamilisha zoezi kama kujitambulisha na yeye kuweza kukubalika kwenu.Jaribu kumweka na dada zako au mama yako mzazi halafu usikilize comment zao.Ikiwa na wao wataona uonavyo wewe achana naye tafuta wa kaliba yako hamtaweza kuishi pamoja kwa maisha yenu yote.

Ikiwa ni mkristo usiingie mkenge kwa kujaribu ukifikiri atabadilika baadaye.Huo ndio utakuwa mwisho wa ndoto zako.USIINGIZE HURUMA
kwenye suala nyeti kama hili.

Fikiria kwanza hiyo ni kweli kabisa,ila tatizo ni kwamba sio mtu wakumpa ushauri,hata hawezi kusikiliza ushauri wa marafiki zake wa kike
 
Excellent roho ikishaamua kuacha haitakiwi umwambie mpenzi wako kua nakuacha sababu una tabia mbaya... NO kama bado anakuhitaji atakwambia nitajirekebisha na sababu hakuna mapenzi ya kweli atajifanya kurekebika lakini asirekibike... We inatakiwa umwambie direct kua nakuacha sababu sikutaki!

Na kama huyo mpenzi wako anakudharau alafu ukimwambia muachane hataki either;

Asha D,kiasi flani hizo points ni

  1. Yuko insecure hanaga amani mpaka awe na mtu hivyo anasubiri akipata ndo muachane..
  2. Labda unampa saana support na kwa kiasi fulani dependent on you, hivyo anaona hawezi kukuachia ili aendelee kunufaika
  3. Ina wezekana hakukubali but katika sector ya sex you are good.
  4. Au kweli anakupenda in his/her on way ila ndo wale watu selfish hujiangalia wao wenyewe
BUT what ever the case sababu hizo hapo juu zoote hazifai mpenzi wako awe nazo kama nawewe unataka uwe na amani,,,




















Asha D hizo points ni kweli kabisa,but ninachojiuliza kumwambia live kwamba nakuacha si kutazuka mengine?si heri tu nionyeshe signs tu na yeye aelewe kuwa sipo naye kwa signs tu
 
Back
Top Bottom