Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Jamani mi mlishaambiwa mi kabayaaaa naongoza jf nzima usiwandanganyeila mama sabrina sio mchezo mzuri kweli kweli
Jamani mi mlishaambiwa mi kabayaaaa naongoza jf nzima usiwandanganyeila mama sabrina sio mchezo mzuri kweli kweli
Ni hatari.ila mama sabrina sio mchezo mzuri kweli kweli
wewe upoje kwani?Hivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
Kiukweli kanifunika sanawewe upoje kwani?
huyo kakufunika ama?
Hata wa kusingizia kidogo hakunaHukuona hata wa maaana
Humjui Kapeace wewe!
sidhani,wewe ni mzuri sana,nina uhakika wa hili kwa asilimia zote...Kiukweli kanifunika sana
uko bomba sana usidanganye watu hapaJamani mi mlishaambiwa mi kabayaaaa naongoza jf nzima usiwandanganye
Hidden behind masks... JitokezeniHivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
Wewe unanipa mashaka mana sio kwa kujisifia huko..asa ana uzuri gani
Demu wa kawaida kabisa mm mwenyewe hamifikii kabisa hata ¼
mleta uzi unataka kututoa mapovu anzisheni shindano la mrembo wa JF muone
Si kweli hata kidogo.sidhani,wewe ni mzuri sana,nina uhakika wa hili kwa asilimia zote...
Anakuzingua huyo dogoSi kweli hata kidogo.
Mung nakojooooooaaa utamfanya bigmind apige ngumi ukutauko bomba sana usidanganye watu hapa
Anajizingua yeye mwenyewe.Anakuzingua huyo dogo
Hata pesa hututumiiii mfyuuu tushakuchoka
Nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa simaraHata wa kusingizia kidogo hakuna
Wadanganye na hii flatscreenNi hatari.