Hapa HDD imekufa au kiitu gani sijaelewa msaada unahitajka

Teja Junior

JF-Expert Member
Apr 1, 2013
1,740
1,597
Kuna mashine natakwa kuwekwa windows ila hdd haisomi inaleta ujumbe huu hapo kama picha inavyoonesha natakiwa kufanya nini hapo cc @

DBGO-1RXoAEabMw.jpg
DBGO6B7XsAIMOAj.jpg
DBGPCDMW0AAVp8X.jpg
 
Nimechomeke vizuri cable gani?sem nimecheki kwenye BIOS nimeona kama kwenye HDD imeandika note detected naon kama HDD imekufa
Chomeka vizuri cable au check seting katika BIOS setup ama sivyo Hdd imekufa nunua nyingne maana hapo inamaanisha HDD haijasoma
 
KUNA MASHINE NATAKWA KUWEKWA WNDOWS ILA HDD HAISOMI INALETA UJUMBE HUU HAPO KAMA PICHA INAVYO ONESHA NATAKIWA KUFANYA NINI HAPO cc @
Nilishapata tatizo kama hilo sio Hdd imekufa bali window yako ndio inashida hiyo machine haina window kabisa
 
Badilisha cd ndipo uweke tena pia jaribu kutoa hiyo cd washa bila cd unipe error inayatokea
Nisipo weka CD kama hivyo inaleta ujumbe kama huo ...nime badiliish CD kama ulivyo sema lakini bado ina ishia njiani kama picha ya tatu inavyo onesha
 

Attachments

  • DBJNOvNWsAE9viD.jpg
    DBJNOvNWsAE9viD.jpg
    59 KB · Views: 28
  • DBJNSFUWsAAtPY0.jpg
    DBJNSFUWsAAtPY0.jpg
    59.1 KB · Views: 28
  • DBJNVhOXoAA02Zv.jpg
    DBJNVhOXoAA02Zv.jpg
    44.3 KB · Views: 42
Nilishapata tatizo kama hilo sio Hdd imekufa bali window yako ndio inashida hiyo machine haina window kabisa
Hapo ttzo HDD Haisomi
Siyo unayosema wewe file za cd haziload katika kuchagua either edition or bit sehemu alipofikia ni katika kuchagua partion ya kuinstal window sasa kimbembe HDD haioni
Nisipo weka CD kama hivyo inaleta ujumbe kama huo ...nime badiliish CD kama ulivyo sema lakini bado ina ishia njiani kama picha ya tatu inavyo onesha
Kwa hiyo picha hdd haisomi kabisa ebu ingia BIOS load default setup then check HDD km ita detected ikikataa kuonekana HDD imekufa nunua nyingine tuu mkuu
 
KUNA MASHINE NATAKWA KUWEKWA WNDOWS ILA HDD HAISOMI INALETA UJUMBE HUU HAPO KAMA PICHA INAVYO ONESHA NATAKIWA KUFANYA NINI HAPO cc @
Run HDD test ukiona inakwambia no disk detected ujue ishakufa.....ila kwa mpaka ulipofikia hapo nauhakika hdd ishakufa
 
Hapo ttzo HDD Haisomi
Siyo unayosema wewe file za cd haziload katika kuchagua either edition or bit sehemu alipofikia ni katika kuchagua partion ya kuinstal window sasa kimbembe HDD haioni

Kwa hiyo picha hdd haisomi kabisa ebu ingia BIOS load default setup then check HDD km ita detected ikikataa kuonekana HDD imekufa nunua nyingine tuu mkuu
Kwaio naweza nikaweka HDD nyingine inayo fanya kazi si ndio
 
Chomoa hard disk, ifunge kama external kwenye laptop nyingine; repair bad sectors, and reformat it itakuwa poa.
Nna uhakika hiyo HDD bado nzima.
Ukishindwa ntafute
 
Back
Top Bottom