Mzigua wa kuchovya
Member
- May 4, 2017
- 57
- 63
Hivi mwanaume anaposem anataka mwanamke mwenye dini anamaanisha mtu aliyeisoma dini,akaijua ila haitilii maanani anaifanyia kazi kiuvivu uvivu au Mtu aliyesoma walau kidogo lkn anapractice?
Yupi anayehitajika haswa hapo
Yupi anayehitajika haswa hapo