Hapa anaelekea wapi?


Acha hizo mkuu. acha kabisa.
 
cku ya ukumu!wengine kuni zitakuwa nyingne sana kwako kwa matendo yao machafu?
 
Mi naona ana-stress, hawazi lolote, anaogopa kurudi home, akicheki pinda vote of no confidence 73, who is next?
 

iliishawahi kuanguka jangwani huko somalia alikuwa anatoka kuangalia mpira na washkaji zake south africa wakaja kuokolewa ila haikuripotiwa
 
Jamaa amebeba mkataba wa kuuza Arusha na Kilimanjaro anapeleka L.A.
 
Ndege nzuri hii jamani, sh ngapi ilinunuliwa?
 
anapita ulimwengu anaelekea duniani wanakoishi watu kupunguza stress za mawaziri
 
Hili pepo huwa silipendi kinoma hadi najisikia kinyaa
wote 2meumbwa na Mungu mmoja,km President ni pepo bc na wewe pia ni pepo tena mchafu..angalia maneno yako kijana utahukumiwa kwa kipimo hichohicho n dn jurge sm1 by looking..period
 

Si vema usifike huko.
 
Huyu jamaa bana!!!
 

Attachments

  • JK.jpg
    57.5 KB · Views: 189
Hawa chadema wanavyoniumiza kichwa sijui ni wafanyaje ndo mawazo ya mkuu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…