Handbag ya Madam

snowhite, kwani wewe kinakuudhi nini iwapo huyo Mr wako akichungulia handbag yako?
 
Last edited by a moderator:
Shosti huyo hajiamini kama yuko peke yake.lakini kwakweli nitabia mbaya sana mwanamme kufungua Handbag ya mkewe
malezi gani hayo alolelewa? tena usimcheke bora ajue kama hupendi na usichoke kusema,ama sivyo ukimuachia atataka akupekua mpaka kwenye chupi ajue kama umelala namwengine au laa.
 

Naiman tupo wengi tunaokerwa na hali hii ,mimi mume wangu ana the same tabia mimi sijawahi kumwuliza ila naona nitaanza kwani mimi sijawahi hata kugusa pochi yake unless kama natafuta kitu na awe amenituma
 
Pole sana eid yote imepita kimya na kamvua kale kalivyoinogesha. kama huna wasisi na hakuna baya unalofanya jitahidi kuvumilia atapekuwa mpaka mwishowe ataache mwenyewe ukimkataza anaweza kupata sababu. anaonekana kachelewa badala ya kumendea simu anamendea handbag!!?
 
Thanks Asabaya

 
Anajaribu kutafiti kama na dollar nazo ni moja ya currency zinazoingia kwenye handbag. Khaa, wanaume kazi ipo!
 
Naiman tupo wengi tunaokerwa na hali hii ,mimi mume wangu ana the same tabia mimi sijawahi kumwuliza ila naona nitaanza kwani mimi sijawahi hata kugusa pochi yake unless kama natafuta kitu na awe amenituma
we mstaarabu mi wa kwangu nikirudi nikiwa nimeutwika ananisachi wakati nakoroma.. kumbe hajui watakatifu tuko wachache
 
Hamna tatizo kukagua chochote cha mkeo na yeye ni ruksa kukagua chochote cha kwako, kwanini uogope na hakuna magendo humo ndani? Kila atakachokiona akiuliza atapata jibu lake tu. Tatizo hapo ni kwanini anakagua kwa siri? Kwanini hakagui mbele yako tu.

Jiamini Naima, mwache akague tu au kuna kitu hupendi akione?
 
We hebu ongea na mmeo kwa upole tu huna haja ya kutumia nguvu nyingi na hasira ili mfikie muafaka.Ushauri wa humu changanya na zako.
 
anajua umekuja na mwanamme kwenye poch yako !!!!!
mtegee mavi ya mtoto au mtego wa panya akiingiza tu mkono atanasa thenunamwambia kuna panya huwa anaingia ndani ya pochi kukagua kila siku leo ndio 16 yake pale pale mwambie ulikuwa unatafuta nini? alafu kila siku mpe mwambie kagua basi ili nipeleke ndani au unaiweka juu ya laptop yake au mahali ambapi lazima ataigusa!
 
Kwa kuwa umekwishaijua hiyo tabia yake wasiwasi wako wa nini? Si usiweke vitu vya ajabu ajabu ktk hand bag yako, kuishi na mtu ni kujifunza mapungufu yake ili uweze kuishi nae. Hapo nakushauri kila siku ukifika nyumbani, baada ya kusalimiana tu, mpe hand bag yako aikague halafu akupelekee chumbani, ukifanya hivyo mara mbili tu msg itakuwa sent, pia usipende kuificha hayo hand bag yako, iweke peupe siku zote.
 

Ok pole maadam ushamwambia ukweli mwache nafikiri kuna kitu anahisi juu yako ndio anatafuta ukweli jitahidi kumvumilia atachoka kufwatilia mwenyewe ataacha. password ya huku hujampa? tusije kuPM kumbe ni yeye tukakuharibia!!
 
Au labda anatumia vipodozi vya kike? Anaona aibu kwenda kununua dukani watamshangaa, kwahiyo anatumia vyako kinyemela na wewe unahisi anakukagua kumbe la.
 

Nawe mwombe password zake za simu, emails zote uone kama utapewa.... huyo mumeo anawivu ambao mie nauita ni wa kitoto kwanini hajiamini yaelekea anayoyafanya yeye huko nje wewe huyajui anadhani nawe unayafanya na ndio maana kutwa kiroho chake kiko juu kwa kukuwazia mabaya.... mkanye na usichoke kumkanya kwani anakuja kuathhirika kisaikolojia kwa kuhofia vitu ama mambo amabayo hayawazii kuyafanya.

iko siku ukitaka kutoka ama akiwa anatoka atakagua chupi uliovaa asubui ndio atakayo kukuta nayo jioni ukitaka kuoga lazima uombe ruhusa maana ukioga kubadilisha kabla hajrudi kosa....
 
Asante kwa ushauri

Ok pole maadam ushamwambia ukweli mwache nafikiri kuna kitu anahisi juu yako ndio anatafuta ukweli jitahidi kumvumilia atachoka kufwatilia mwenyewe ataacha. password ya huku hujampa? tusije kuPM kumbe ni yeye tukakuharibia!!
 
Mpitanjia, naona huyu mtu kwa hali hii aliyojiwekea inawezekana ata akikaa offisini ananiwazia mabaya tu mda wote, sasa hii hali itakuja kumuathiri bila sababu ya msingi

Kama angekua hakuamini basi angekua anapekua simu yako, handbags siku hizi hazifichi kitu...simu ndio zenyewe maana vi text msgs au namba za simu ndio zinazoachanisha watu sasa yeye anakimbilia kwenye bag na sio simu yako labda kuna mengine anayatafuta huko..kaa nae chini umuulize
 

Asante mpenzi nashukiuru kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…