Sku zote watu wenye uwezo mkubwa Sana , huwa hawako balanced, tulipokuwa skul kuna mwamba alikuwa anapiga A za physics na hesabu , na chemistry , jamaa aligonga A , A, A mpak Necta peke yake , ila Maisha yake jamaa kama hayuko Sawa hv , anaweza kaa wiki nzima hajaoga , na yupo rough rough tuu....