Hamueleweki wapinzani

Hamueleweki wapinzani

Nime kuwa nikiandika sana kuhusu uzuzu wa wapinzan( mnavyowaita)
Hawaelewi wanachotaka kama wanaelewa basi wametuona sisi ni wapumbavu si wajinga.

Tazama wanataka tai na sidiria wakijua wako uchi.

Ni sisi tuache upumbavu kufuata upuuzi wao.
Nafanyia kazi andiko moja litakalotupa majibu.
Wanachotaka watawala ndio unawapa?
 
Hivi karibuni, mbunge wa mbeya ameibua hoja bungeni kutaka tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais yahojiwe.

Kwanza wacha niseme ukweli, almost ya watanzania hawaziamini mahakama za Tanzania, wamekuwa wakitoa matamko kwamba zinaingiliwa na viongozi wa juu.

Kuna watu walipata nafasi kupeleka kesi zao katika mahakama ya Africa ya mashariki kwa kuamini kupata haki kutokana na chombo kile kina uhuru zaidi.

Swali kwa upinzani

Mnataka tume huru ya uchaguzi na matokeo yahojiwe jee mmejipanga kuyapokea matokeo ya mahakama ambazo hamziamini?

In fact juzi tu hukumu ya mahakama mmelia sana. Kwa nini msidai katiba mpya tukaja na mfumo mzima wa uwendeshaji mamlaka wenye uhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew na mwenyekit wako mnaeleweka kwa nani au kwa mapoyoyo ya lumumba.
 
Hivi karibuni, mbunge wa mbeya ameibua hoja bungeni kutaka tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais yahojiwe.

Kwanza wacha niseme ukweli, almost ya watanzania hawaziamini mahakama za Tanzania, wamekuwa wakitoa matamko kwamba zinaingiliwa na viongozi wa juu.

Kuna watu walipata nafasi kupeleka kesi zao katika mahakama ya Africa ya mashariki kwa kuamini kupata haki kutokana na chombo kile kina uhuru zaidi.

Swali kwa upinzani

Mnataka tume huru ya uchaguzi na matokeo yahojiwe jee mmejipanga kuyapokea matokeo ya mahakama ambazo hamziamini?

In fact juzi tu hukumu ya mahakama mmelia sana. Kwa nini msidai katiba mpya tukaja na mfumo mzima wa uwendeshaji mamlaka wenye uhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi kwann mnajitekenya wenyewe na kujichekesha.

Naunga mkono upinzani haupo Tz, then dare tupate tume huru na matojeo yahojiwe mahakamani. Naamini ukienda kupeleka wazo hilo kwa muhusika utapotea.


Maoni ya sugu ni matakwa ya kidemokrasia. So U dare ili wananchi yatekelezewe mahitaji yao.
 
Hivi karibuni, mbunge wa mbeya ameibua hoja bungeni kutaka tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais yahojiwe.

Kwanza wacha niseme ukweli, almost ya watanzania hawaziamini mahakama za Tanzania, wamekuwa wakitoa matamko kwamba zinaingiliwa na viongozi wa juu.

Kuna watu walipata nafasi kupeleka kesi zao katika mahakama ya Africa ya mashariki kwa kuamini kupata haki kutokana na chombo kile kina uhuru zaidi.

Swali kwa upinzani

Mnataka tume huru ya uchaguzi na matokeo yahojiwe jee mmejipanga kuyapokea matokeo ya mahakama ambazo hamziamini?

In fact juzi tu hukumu ya mahakama mmelia sana. Kwa nini msidai katiba mpya tukaja na mfumo mzima wa uwendeshaji mamlaka wenye uhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia upinzani wa Nchi hii,nimekuja kuona hawa watu hawana tofauti na jongoo.
Jongoo hajui kama amekosea njia mpaka agonge ukuta ndio ageuze uelekeo.
Katiba ya Warioba ilikuwa fursa adhimu ambayo ndani yake kulikuwa na Katiba mpya pamoja na tume huru. Kwa UJONGOO wao walijua kila wanachotaka watakipata pale kwenye Katiba ile. Lilipokuja suala la Serikali Tatu wakang'ang'ania kiasi kwamba walipokosa serikali tatu wakaona hakuna maana tena ya Katiba Mpya pamoja na mazuri mengine yote ikiwemo tume huru... wakajitoa na kususia.
Kimkakati CCM nao wakajidai kusitisha mchakato wakijionyesha kutambua kujitoa kwa Upinzani.. kumbe CCM wanasema "Loooh alhamdulillah, hata hayo tuliyowakubalia yalikuwa yanatuumiza sana bora mchakato ufe turudi square one."

Kwanza hata hiyo Katiba Mpya itatengenezwaje wakati CCM wana Majority!? Kwa namna yeyote ile Katiba mpya lazima Walio wengi walinde maslahi yao (CCM)
Wenzetu Kenya na Zanzibar waliweza kwa sababu hakuna kundi lililokuwa na theluthi mbili kupitisha matakwa yake. Leo hii wapinzani ni robo tuu afu wanataka Katiba Mpya kwa mfumo wa bunge la katiba..!??
Very stupid
Sasa leo wanataka angalau Tume huru.. Jee, wameangalia kama muda unatosha kuchakata hiyo tume huru zikiwa zimebaki miezi minne!!??
1. Waandae Muswada
2. Ujadiliwe na Wadau
3. Usomwe na Ujadiliwe
4. Upitishwe& kusainiwa
5. Utungiwe kanuni
6. Iundwe tume
7. Watendaji wajiriwe
8. Tume ijipange na ianze na maboresho ya Daftari kabla ya kuanza kampeni Mwezi ya 9...
Kwa mtiririko huu naona sababu za kususia uchaguzi zinatafutwa, laa sivyo wanataka Bunge na Serikali iliyopo iongezewe muda.
 
Mohamoud ni sawa lkn fuatilia historia na utaratibu wa bunge pia usisahau utundu wa kucheza na bunge.
 
Ni virahisi sana kulalamika, ila afadhali mahakama kuliko tume ya CCM!

Sababu rejea za mahakama hutumika duniani. Pia ni virahisi kwenda mahakama ya East Africa, Afrika na hata zaidi ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya wapinzani ni mazuzu/manyumbu, saaizi wanataka tume huru ya uchaguzi sasa iyo tume unaipata kwa katiba ipi wakati katiba iliyopo inampa rais aliyepo nguvu za kimaamuzi katika mambo mengi?
Wakati wa mchakato wa katiba baadhi ya wapinzani walisusia ukiangalia walicho pinga ni aina ya serikali kwamba ziwe tatu, kwenye mapendekezo ya katiba ile ivyo wanavyo dai kwa sasa vingi vilikuwemo. sasa kwa nini wasinge iunga mkono katiba iliyopendekezwa alafu waje waifanyie tena mabadiliko ya aina za serikali watakazo wakatiuo pengine wangekua madarakani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe acha kupotosha watu huwezi risk kupitisha katiba mbovu itakayoathiri vizazi vinne mbele kwa bahati nasibu ya kushinda urais ndio uje ubadili. Ukifeli hapo kati ina maana ndio umepoteza kila kitu!!

Btw hyo tume huru ya rasimu ya warioba ni tofauti kabisa na ile iliotolewa maoni na walio wengi BMK. Yaani walifumua vipengele vyote so bado isingesaidia lolote kwa upinzani kushinda hata kama wangeipitisha.

Walitoka BMK sio sababu ya serikali tatu bali sababu ya CCM kuhodhi mjadala kwa kuleta mapendekezo yao yaliyofuta maoni yote ya wananchi kupitia rasimu ya warioba.
 
Nimefuatilia upinzani wa Nchi hii,nimekuja kuona hawa watu hawana tofauti na jongoo.
Jongoo hajui kama amekosea njia mpaka agonge ukuta ndio ageuze uelekeo.
Katiba ya Warioba ilikuwa fursa adhimu ambayo ndani yake kulikuwa na Katiba mpya pamoja na tume huru. Kwa UJONGOO wao walijua kila wanachotaka watakipata pale kwenye Katiba ile. Lilipokuja suala la Serikali Tatu wakang'ang'ania kiasi kwamba walipokosa serikali tatu wakaona hakuna maana tena ya Katiba Mpya pamoja na mazuri mengine yote ikiwemo tume huru... wakajitoa na kususia.
Kimkakati CCM nao wakajidai kusitisha mchakato wakijionyesha kutambua kujitoa kwa Upinzani.. kumbe CCM wanasema "Loooh alhamdulillah, hata hayo tuliyowakubalia yalikuwa yanatuumiza sana bora mchakato ufe turudi square one."

Kwanza hata hiyo Katiba Mpya itatengenezwaje wakati CCM wana Majority!? Kwa namna yeyote ile Katiba mpya lazima Walio wengi walinde maslahi yao (CCM)
Wenzetu Kenya na Zanzibar waliweza kwa sababu hakuna kundi lililokuwa na theluthi mbili kupitisha matakwa yake. Leo hii wapinzani ni robo tuu afu wanataka Katiba Mpya kwa mfumo wa bunge la katiba..!??
Very stupid
Sasa leo wanataka angalau Tume huru.. Jee, wameangalia kama muda unatosha kuchakata hiyo tume huru zikiwa zimebaki miezi minne!!??
1. Waandae Muswada
2. Ujadiliwe na Wadau
3. Usomwe na Ujadiliwe
4. Upitishwe& kusainiwa
5. Utungiwe kanuni
6. Iundwe tume
7. Watendaji wajiriwe
8. Tume ijipange na ianze na maboresho ya Daftari kabla ya kuanza kampeni Mwezi ya 9...
Kwa mtiririko huu naona sababu za kususia uchaguzi zinatafutwa, laa sivyo wanataka Bunge na Serikali iliyopo iongezewe muda.

Akitokea mtu asiyejua lolote anaweza kudhani una point maana umeandika gazeti. Tume huru ya uchaguzi haihitaji miaka kuitengeneza, kwa taarifa yako tume huru haijaanza kudaiwa juzi bungeni, unaposema wamechelewa sijui unamaanisha nini? Ni hivi tunahitaji tume huru kwa njia ya amani kwa sasa, iwapo haitapatikana kwa njia ya amani, hata njia ya machafuko itatumika fullstop. Kama rais huyu aliongea kwa mbwembwe kuwa katiba mpya iliyokuwa pending sio kipaombele chake, huo mjadala wa tume huru ya uchaguzi ndio ungekubaliwa ndani ya hilo bunge toka ameanza awamu yake? Hivi mnatuona sisi ni viazi wa kutuambia muda umeisha, mkidhani tutapotea maboya?
 
Na wewe acha kupotosha watu huwezi risk kupitisha katiba mbovu itakayoathiri vizazi vinne mbele kwa bahati nasibu ya kushinda urais ndio uje ubadili. Ukifeli hapo kati ina maana ndio umepoteza kila kitu!!

Btw hyo tume huru ya rasimu ya warioba ni tofauti kabisa na ile iliotolewa maoni na walio wengi BMK. Yaani walifumua vipengele vyote so bado isingesaidia lolote kwa upinzani kushinda hata kama wangeipitisha.

Walitoka BMK sio sababu ya serikali tatu bali sababu ya CCM kuhodhi mjadala kwa kuleta mapendekezo yao yaliyofuta maoni yote ya wananchi kupitia rasimu ya warioba.

Nashukuru kwa huu ufafanuzi, kuna upotoshaji wa wazi kuhusu kwanini wapinzani walitoka kwenye bunge la katiba. Kila mara nasikia wakisema eti wapinzani walitoka kwa sababu ya kudai serikali tatu, na wajinga fulani wamekariri hilo, kila mara wanarudia wakidhani tumesahau kilichofanya wapinzani wasusie bunge lile.
 
Hivi karibuni, mbunge wa mbeya ameibua hoja bungeni kutaka tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais yahojiwe.

Kwanza wacha niseme ukweli, almost ya watanzania hawaziamini mahakama za Tanzania, wamekuwa wakitoa matamko kwamba zinaingiliwa na viongozi wa juu.

Kuna watu walipata nafasi kupeleka kesi zao katika mahakama ya Africa ya mashariki kwa kuamini kupata haki kutokana na chombo kile kina uhuru zaidi.

Swali kwa upinzani

Mnataka tume huru ya uchaguzi na matokeo yahojiwe jee mmejipanga kuyapokea matokeo ya mahakama ambazo hamziamini?

In fact juzi tu hukumu ya mahakama mmelia sana. Kwa nini msidai katiba mpya tukaja na mfumo mzima wa uwendeshaji mamlaka wenye uhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafadhali Ghibuu acha upotoshaji usio na maana yoyote. Katiba mpya inatakiwa inadaiwe na watanzania wote na sio wabunge wa upinzani tu. Huyo Sugu kadai tume huru ya uchaguzi maana kwenye hilo bunge ndio sehemu wana uwezo nalo kwa sasa. Sasa ww hudai katiba mpya unasubiri wabunge wa upinzani wakusaidie kuidai! Hata hivyo kwani Sugu kudai tume huru ya uchaguzi kuna popote kasema hahitaji katiba mpya? Au akidai tume huru ya uchaguzi hivi sasa, ndio itakwamisha upatikanaji wa hiyo katiba mpya?
 
Nimefuatilia upinzani wa Nchi hii,nimekuja kuona hawa watu hawana tofauti na jongoo.
Jongoo hajui kama amekosea njia mpaka agonge ukuta ndio ageuze uelekeo.
Katiba ya Warioba ilikuwa fursa adhimu ambayo ndani yake kulikuwa na Katiba mpya pamoja na tume huru. Kwa UJONGOO wao walijua kila wanachotaka watakipata pale kwenye Katiba ile. Lilipokuja suala la Serikali Tatu wakang'ang'ania kiasi kwamba walipokosa serikali tatu wakaona hakuna maana tena ya Katiba Mpya pamoja na mazuri mengine yote ikiwemo tume huru... wakajitoa na kususia.
Kimkakati CCM nao wakajidai kusitisha mchakato wakijionyesha kutambua kujitoa kwa Upinzani.. kumbe CCM wanasema "Loooh alhamdulillah, hata hayo tuliyowakubalia yalikuwa yanatuumiza sana bora mchakato ufe turudi square one."

Kwanza hata hiyo Katiba Mpya itatengenezwaje wakati CCM wana Majority!? Kwa namna yeyote ile Katiba mpya lazima Walio wengi walinde maslahi yao (CCM)
Wenzetu Kenya na Zanzibar waliweza kwa sababu hakuna kundi lililokuwa na theluthi mbili kupitisha matakwa yake. Leo hii wapinzani ni robo tuu afu wanataka Katiba Mpya kwa mfumo wa bunge la katiba..!??
Very stupid
Sasa leo wanataka angalau Tume huru.. Jee, wameangalia kama muda unatosha kuchakata hiyo tume huru zikiwa zimebaki miezi minne!!??
1. Waandae Muswada
2. Ujadiliwe na Wadau
3. Usomwe na Ujadiliwe
4. Upitishwe& kusainiwa
5. Utungiwe kanuni
6. Iundwe tume
7. Watendaji wajiriwe
8. Tume ijipange na ianze na maboresho ya Daftari kabla ya kuanza kampeni Mwezi ya 9...
Kwa mtiririko huu naona sababu za kususia uchaguzi zinatafutwa, laa sivyo wanataka Bunge na Serikali iliyopo iongezewe muda.
Mkuu msifanye watanzania ni wajinga
1. Rasimu ya warioba ilipofika bungeni ilifutwa yote na zile kamati za walio wengi ambazo technically zote zilikua chini ya CCM
Kwahiyo rasimu ya warioba haikujadiliwa tena bali rasimu ya chenge ndio ikaanza kujadiliwa so sio sahihi kusema upinzani waliacha mazuri ya tume ya warioba ilihali vipengele vyote vilifumuliwa kuanzia miiko mpaka hyo tume huru.

2. Kuhusu tume huru ya rasimu ya warioba sio kweli ingewasaidia wapinzani kama wangepitisha katiba mpaya sababu ile rasimu ya warioba ilifumuliwa na ikapendekezwa modal mpya ambayo bado ilimpa Rais mamlaka makubwa kwenye tume hivyo uhuru uliotarajiwa usingepatikana

3. Kingine unapotosha eti ccm waliachana na mpango sa katiba mpya sababu ingewaumiza. Ni hivi rasimu ya chenge isingewaumiza maana ilifuta vipengele 90% vya rasimu ya warioba na hili Mhe Polepole na Prof Kabudi alieleza ibara kwa ibara jinsi CCM walivyofuta maoni ya wananchi. Sasa ingewaumizaje tena ilihali ibara zote waliweka maoni ya CCM pekee??

4. Kingine katiba mpya haipitishwi na CCM bali wananchi na ndio maana mpaka leo rasimu ya chenge haipigiwi kura sababu ingekataliwa vibaya sana. Hivyo huko kenya na zenji issue sio theluthi tatu ya wabunge bali issue ni wananchi wangapi wataunga mkono. Kma CCM ikihodhi itakutana na kiwembe cha wananchi!! So usitake kupotosha kuwa majority ya bunge ndio inaamua vifungu as if bunge la katiba ndio lina sauti ya mwisho.

5. Unasema muda hautoshi? Mbona mliweza kupitisha muswada wa sheria mpya ya madini na rasilimali kwa hati ya dharura katikati ya negotiation na BARRICK na process zote hizo zikafanyika ndani ya wiki yaani maoni mpka kusomwa bungeni na kupitishwa ndio sembuse tume huru??

Nguvu ileile mliotumia kupitisha miswada kwa hati ya dharura muitumie pia kwa tume huru sio kutafuta kichaka cha kujifichia?
 
Unataka tume huru miezi mitano kabla uchaguzi!!
Tanzania hatuna wapinzani tuna wasanii na wala ruzuku tu
Ila mliweza kubadilisha sheria ya madini katikati ya majadiliano na barrick tena ndani ya wiki ikapitishwa na mkaitumia kwenye majadiliano!!

Hilo halikushangazi ila miezi 5 ndio inakushangaza.....

Hvi katiba ya zanzibar 2010 ilirekebishwa miezi mingapi kabla ya uchaguzi na ikazaa tume huru na ikatumika uchaguzi wa oktober 2010 ?? Ndio sembuse sheria moja tu tena miezi 5 kabla?

CCM msitafute excuse hapotoshwi mtu hapa
 
Uungwana kwanza , mengine baadaye
Hii ndiyo shida ya wanasiasa kutaka kupatpatwa migongoni kama watoto.
Na umma wakishaona hao wapinzani hawalii tena nanyi mnasahau ajenda .

Kuna haja ya uungwana kwenye utawala wa sheria? Uungwana huletwa na sheria au kanuni toshelezi.

Tindo, suala la katiba pia ni uzembe wa wanasiasa waliokuwa wabunge kutotunga sheria ya kuunda katiba mpya.
Ni kosa la wanasiasa walioaminiwa kutojua nini hatma ya wanachotaka na ni njia zipi zifuatwe.

Mlitaka uungwana wa serikali, mkapata lkn mlifanya nini cha maana.

Upumbavu ni wetu watz

Niliwahi kuandika, nchi nzuri inatathiminiwa na kusanifiwa na wasomi + wanaharakati kisha kuwatumia wanasiasa kwa utekelezaji( hapa tz tunataka wanasiasa ndiyo waandae jukwaa kisha kusanifu) hapo tunakosea na mpka mgundue tunakosea itakuwa 2050
 
Nimeeleza vizuri, hakuna na hakukuwa na uwezekano wa kuundwa Katiba Nzuri kwa sababu CCM wana MAJORITY, kuanzia Bungeni mpaka kwa wananchi. CCM ni sehemu ya wananchi, wanaushawishi kwa wananchi. Hata unaposema wananchi ndio wataamua katiba, unatakiwa kujua kura ikipigwa Wananchi wengi wako upande wa CCM. Huo ndio UJONGOO wenu, kujifanya hamjui.
Rasimu ya Chenge ni matokeo ya mfumo uliokuwepo wa Bunge la katiba, kukubali mfumo ule ndio UJONGOO wenu huo. Jifunzeni wale watu 9 wa Ghana waliwezaje kutengeneza katiba bora. Nyinyi mlitaka platform muonekane mnavopiga kelele kumbe mwisho wa siku ni kura ndiyo inaamua sio hoja.
Suala la tume huru ni suala la kisiasa, haliwezi kupita bila kuwepo mjadala wa kina. Hakuna uwezekano wa mswaada kupita bila kushirikisha wadau na kujadiliwa kwa kina. Tume huru haiwezi kupitishwa kama sheria ya madini. Pole sana.
 
Do you have basics techniques for this?
Nijibu hata pm
Nimeeleza vizuri, hakuna na hakukuwa na uwezekano wa kuundwa Katiba Nzuri kwa sababu CCM wana MAJORITY, kuanzia Bungeni mpaka kwa wananchi. CCM ni sehemu ya wananchi, wanaushawishi kwa wananchi. Hata unaposema wananchi ndio wataamua katiba, unatakiwa kujua kura ikipigwa Wananchi wengi wako upande wa CCM. Huo ndio UJONGOO wenu, kujifanya hamjui.
Rasimu ya Chenge ni matokeo ya mfumo uliokuwepo wa Bunge la katiba, kukubali mfumo ule ndio UJONGOO wenu huo. Jifunzeni wale watu 9 wa Ghana waliwezaje kutengeneza katiba bora. Nyinyi mlitaka platform muonekane mnavopiga kelele kumbe mwisho wa siku ni kura ndiyo inaamua sio hoja.
Suala la tume huru ni suala la kisiasa, haliwezi kupita bila kuwepo mjadala wa kina. Hakuna uwezekano wa mswaada kupita bila kushirikisha wadau na kujadiliwa kwa kina. Tume huru haiwezi kupitishwa kama sheria ya madini. Pole sana.
 
Back
Top Bottom