chichi pilato
Senior Member
- May 26, 2019
- 132
- 97
Moja kwa moja kwenye mada.
Mm ni mwanaume mwenye umri wa 30 yrs (jina kapuni na mkoa kapuni)
Nimeoa 2019, yanayonikuta ni kwamba napenda sana kusex yani tukitoka tu job kabla hata hatujaoga Mzee nishadandiaa kwa wife then show ya kibabe kwa bao 2 then ndio ustaarabu meingine unafuata, hapo sichezi mbali jioni baada ya kulaaa hakuna tym ya kupoteza nikumwambia baby tukalale (Baada ya tamthilia ya HUBA kuisha)
Tukifika bed ni mwendo wa show tu.
Sasa hiii tabia wife hapendi sanaa ingawa mwanzoni alikuaa anafurahiaa but now ameonaa kasi ni kubwa mnoo.
Naomba ushauri wakuu nifanyeje ili nibalance mambo?
NB: kama huna la kunishauri kausha matusi sio dili
Mm ni mwanaume mwenye umri wa 30 yrs (jina kapuni na mkoa kapuni)
Nimeoa 2019, yanayonikuta ni kwamba napenda sana kusex yani tukitoka tu job kabla hata hatujaoga Mzee nishadandiaa kwa wife then show ya kibabe kwa bao 2 then ndio ustaarabu meingine unafuata, hapo sichezi mbali jioni baada ya kulaaa hakuna tym ya kupoteza nikumwambia baby tukalale (Baada ya tamthilia ya HUBA kuisha)
Tukifika bed ni mwendo wa show tu.
Sasa hiii tabia wife hapendi sanaa ingawa mwanzoni alikuaa anafurahiaa but now ameonaa kasi ni kubwa mnoo.
Naomba ushauri wakuu nifanyeje ili nibalance mambo?
NB: kama huna la kunishauri kausha matusi sio dili
