MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,484
Yule ng'ombe alikufa kwa ukimwiMnafuraha mpaka mnakosa cha kuandika halafu mnatawazwa kuwa mabingwa hamjaanda mbuzi au ng'ombe tuje tule wajameni,ng'ombe wa Mayele bado yupo au ulikufa?
Yule ng'ombe alikufa kwa ukimwi
Misumali nayo imechangia wachezaji wamefanywa kuwa majeruhi kimkakati, Boko ndio alikuwa mfungaji bora msimu ulipita.Ni jambo lililokuwa wazi kuwa Simba hawakuwa na kikosi bora Cha kupambania ubingwa msimu huu timu ilikuwa inacheza tu ilimradi...... imagine unapambaniaje ubingwa na striker kama Mugalu au Boko.....??
Yanga waliteleza mara kadhaa lakini kikosi dhaifu Cha Simba kikashindwa kutumia faida hiyo.......
Ni dhahiri kikosi dhaifu Cha Simba hakikuweza kutoa ushindani wa ukweli kuelekea mbio za ubingwa dhidi ya Yanga........
Hongera mtani kwa kuumaliza ukame wa miaka minne......
Wee kichwani mzima kweli!Simba imevuliwa ubingwa, wale viongozi waliodhani wanamkomoa Mo Dewji wakae wakijua kuwa aliyekomoka sio Mo Dewji, ni sisi wanachama na mashabiki, tunajua viongozi wala hamshtuki kwa sababu haya yalitegemewa.
Msimu huu, mipango na mikakati iliuzwa mapema tu, tunashukuru sana, na yanga wataendelea kuwa mabingwa msimu ujao kwa sababu GSM anajielewa.