Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

ni wao wenyewe wanataka wafuatiliwe maisha yao...

kwenye kurasa zao mitandaoni kuna kitufe cha FOLLOW

na umaarufu wao unapimwa kwa wangapi wanafuatilia maisha yako, FOLLOWERS

sasa huwezi kufiwa ukasema leo msini follow maisha yangu...

na kijana wa Tandale mbona simwoni pembeni ya jeneza, hakuja au alikataa kuingia ndani ya hiyo nyumba?
Kum follow mtu ni lazima??

Mtu ambaye umem follow maana yake amekuzidi kwa namna moja au nyingine kiasi cha kukushawishi um follow.
 
Issue sio kujenga kwenu issue umejenga nyumba ya namna gani..?sion umuhimu wa kujenga mhekalu kijijin..mzee alijenga kajumba kama ka babu tale kijijn kwao-kwetu na mama kajenga kwao kajumba kadogo kakishkaj..ila mjin mzee
Alijenga sehem tofauti:mikoa tofauti nyumba kubwa..ametangulia mbele za haki ila katuacha kila mtoto na kibanda chake though tumejenga zetu..tulizoridhi zinaingiza chambi chambi na za kijijin wanakaa ndugu..
 
Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri, hata kuweka curtains tu kumemshinda? Kashindwa kuendeleza kwao ndio huyu anataka ubunge? Au anataka ubunge ili anufaike ? Aibu hii. Maisha ya social media bwana........
Hatarious
 
Mmmmh.. ni wapi hapo nje ya nchi watu hawathamini kumiliki nyumba?

Tena nje ya nchi, watu ndo wanakuwaga na dream za ku own nyumba (real estate), sema shida ni kwamba kumiliki nyumba ni gharama sana ndo mana wengi wanaishia kupanga mpaka wanakufa.

Sioni kama ni akili kuwa na mihela mingi kwenye account halafu usiwe na nyumba, ni kukosa akili.. pesa hii hii ambayo ikitokea inflation inakuwa haina tofauti na makaratasi?

Mtu yoyote mwenye akili popote pale lazima uwaze kumiliki nyumba, at some point in your life... Hakuna ufahari wa kutokuwa na nyumba nzuri.

Refere basic needs
- Food
- Shelter (Housing)
- Cloth

Hivi ndo vitu vitakupa heshima duniani.. How you eat (become healthy), Where you live (Good House), what you wear (Good Clothes).. sijui kama umenisoma mkuu
 
Aende Mpakani mwa Tanzania na Zambia watu wanaishi kwenye nyumba za nyasi hafu nje amepaki Range lover, Tanzania tunapenda kujenga sana ndo maana mtu anakaa miaka kibao anajenga nyumba tu.
Au sio bora tuishi nyumba ya nyasi nje tupaki Bentley choo tukachimbe kishimo huko porini, kwa hiyo mkuu hujawah kuwa na plan ya kumiliki asset yako ndio maana wachaga. Bila shaka mkuu haufanyi kazi na pia sio mchaga wala hujawahi kuishi sehemu tofauti na hapo ulipo mkuu tafuta marafiki wengine hao ulionao hawakufai tafuta mke mwenye akili atakuelewesha maana ya maisha bora na mazuri.
 
Au sio bora tuishi nyumba ya nyasi nje tupaki Bentley choo tukachimbe kishimo huko porini, kwa hiyo mkuu hujawah kuwa na plan ya kumiliki asset yako ndio maana wachaga. Bila shaka mkuu haufanyi kazi na pia sio mchaga wala hujawahi kuishi sehemu tofauti na hapo ulipo mkuu tafuta marafiki wengine hao ulionao hawakufai tafuta mke mwenye akili atakuelewesha maana ya maisha bora na mazuri.
Kwani we unazani ukiishi kwenye ghorofa na mwenzio akaishi nyumba ya nyasi hafu anakuzidi pesa na maisha nani mjanja? Ndo vijana mkipata tu vihela mnakimbilia apartment Masaki, Mikocheni au Mbezi mkiishiwa mnaanza kutapatapa
 
Kwani we unazani ukiishi kwenye ghorofa na mwenzio akaishi nyumba ya nyasi hafu anakuzidi pesa na maisha nani mjanja? Ndo vijana mkipata tu vihela mnakimbilia apartment Masaki, Mikocheni au Mbezi mkiishiwa mnaanza kutapatapa
Duuu kwa hiyo niache ghorofa niende nyumba ya nyasi ili ninunue gari.
 
Ndio akili zenu za kimbumbumbu nilizosema. Mawazo yote kwenye nyumba kama vile mmekuwa kobe. Kobe ndiye lazima awe na nyumba ili mwili usiishiwe maji. Wewe binadamu unayezikwa na sanduku tu na shuka moja, utashupalia nyumba kiasi hicho cha nini?

Hata kusoma Kiswahili haujui. Nimeandika mtu ana nyumba nzuri, anakaa nyumba ya kupanga nzuri kwenye eneo zuri la mji (Dar - Masaki, Oysterbay nk). Halafu unaniponda huku unarudia kile kile nichokisema. Una akili kweli? Siyo ujinga huo. Halafu wajinga wenzio wamesoma halafu wakakupa "Thanks"!
romy jones tulia basi mnapoambiwa ukweli mkubali....wewe nahisi madirishani ndio utaweka mifuko ya sementi iliyokwishatumika badala ya bendera za CCM.
 
wengi mnaojenga kijijini, mnajenga ku maintain status ni kama pride Fulani, wala hakuna linguine linalowasukuma kufanya hivyo.. which is sad... pride wengine sio tu pride hawana bali pia sio priority....

Maendeleo kijijini tafuta kwa nini hamna.
Kuna wengine tulizaliwa vijijini, tkasomea huko, baadaye tukaingia mjini kufanya kazi. Mtu umefanya kazi miaka 30 au zaidi, ukizeeka unakuwa na hamu kurudi ulikokulia. Lakinoi kama hukujenga huko unabakia mjini ukisononeka na hekaheka za mjini. Mjini kuzuri ukiwa kijana. mimi niliona hivyo siku nyingi ndiyo maana nikajijengea kabanda ninakokaaa siku hizi huko kijijini.
 
Back
Top Bottom