Hamis Kigwangalla: Ukiposti kitu chochote Mtandaoni weka na Hashtag ya 'Nasimama na Mama'

Mbunge wa Nzega Vijijini Hammis Kigwangala amewataka Watanzania wote wenye mapenzi mema na Nchi Yao Wasimame na Rais Samia kimsemea na kuelezea mafanikio mengi na mazuri ambayo Samia ameyaleta Nchi nzima ya Tanzania.

Mbunge Kigwangala amemwagia sifa Rais Samia Kwa kumwaga mabilioni huko Jimboni Nzega Vijijini Ametoa mfano wa upatikanaji wa Maji ya Bomba kutoka asilimia 0% Hadi asilimia 70%.

View: https://www.instagram.com/reel/C55yRCKNp0x/?igsh=cG9ydWNnMmxvdmRs


My Take
Naunga mkono hoja na Nasimama na Mama
View attachment 2967361


View: https://www.instagram.com/p/C55jAfbtdeC/?igsh=cXl2OHJoZHZjeGN2

Screenshot_2023-10-16-23-18-09-160_com.twitter.android_2.jpg

Kazi iendelee
 
Kwa nchi zetu za kiafrica rais akifanya majukumu yake mnamtukuza yan kama ametupa msaada na wakat ndio kaz yake aliyoiomba, kumtukuza uyo mtu kwanin. Au wananchi hawakustahili
 
Alikua anatibu hospital IPI?
Kutibu au kutotibu hakumfanyi mtu kuwa daktari wa binadamu zipo qualifications na unazifahamu .Pia jifunze kujenga majengo hakukufanyi kuwa mhandisi wa majengo,kufundisha hakukufanyi kuwa mwalimu nk.
 
Back
Top Bottom