Acheni chuki za kidini, zipo nchi kama iran hutangaza hadharani ya kwamba Israel kwa maana ya waisrael hawapaswi kuwepo, na huenda mbali zaidi kwa kuwatangazia wananchi wao wenye ujazo wa kutosha wa dini vichwani kuwa wanafanya mikakati ya kuifuta israel kwenye ramani ya dunia na wananchi wao wakaitikia kwa bashasha na vibwagizo vya kidini.
Hapo ndipo haki ya kujilinda huchukua nafasi yake kwa upande wa israel.
WAARABU WAKUBALI UWEPO WA ISRAEL NA WAFUTE NDOTO NA MAFUNDISHO HASI DHIDI YA ISRAEL NA WAKIYAISHI MANENO HAYO PATALETA KAMWANGA KA AMANI.