Hamas yaionya israel

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Harakati Ya Wananchi Wa Palestina Hamas Imeuonya Utawala Wa Kizayuni Wa Israel Kuwa Utakabiliwa Na Jibu Kali La Kijeshi Kutoka Kwa Hamas Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi.

Hamas Imeyasema Hayo Kufuatia Baadhi Ya Wanasiasa Wa Israel Kutaka Kuanzisha Mashambulizi Gaza Ili Waweze Kushinda Uchaguzi Wa Mwezi March Nchini Israel.

Hii Ni Katika Hali Ambayo Mfumuko Wa Bei Israel Na Kuongezeka Maradufu Kwa Ughali Wa Maisha Kutokana Na Uchumi Kudorora.
 
Yaani hawa jamaa wanavyo watoa kamasi Israel nomaa, ikitokezea siku wakapewa s-300 moja tuu na su 24 tatu, na baadi ya silaha tofauti zisizo fika tani 5, hiyo siku ndio mwisho wa Israel.
 
Yaani hawa jamaa wanavyo watoa kamasi Israel nomaa, ikitokezea siku wakapewa s-300 moja tuu na su 24 tatu, na baadi ya silaha tofauti zisizo fika tani 5, hiyo siku ndio mwisho wa Israel.

Mkuu Mimi huwa nakiwaza sana hicho kitu. Lkn umeenda mbali sana kwenye s-300..chukulia mfano raia wa kawaida wakipewa silaha ama mabomu ya (mkono) kurusha kama ya huku kwetu, sijui wale jamaa wangekua na hali gani sasaiv!
 
Duhh.wanataka kukianzisha tena ukila nyama ya mtu utapenda kuila tena hii midle east ishakuwa shida sasa.
 
Hahahahhaha asee umenichekesha mkuu
Yaani hawa jamaa wanavyo watoa kamasi Israel nomaa, ikitokezea siku wakapewa s-300 moja tuu na su 24 tatu, na baadi ya silaha tofauti zisizo fika tani 5, hiyo siku ndio mwisho wa Israel.
 
Yaani hawa jamaa wanavyo watoa kamasi Israel nomaa, ikitokezea siku wakapewa s-300 moja tuu na su 24 tatu, na baadi ya silaha tofauti zisizo fika tani 5, hiyo siku ndio mwisho wa Israel.
Walishaonywa na Mungu kupitia biblia kuwa wangewaacha hao jamaa wangewasumbua sana
 
Israel taifa teule hayupo wa kuwashinda wale jamaaa hata kama ni usiku wa melala
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Kuna watu humu commet zao zinachekesha kweli kweli, eti kwa sababu ni taifa teule hakuna wakuwashinda...Mungu akiamua kitu na kweli kinakua hata awe na power kiasi gani,
 
wote hao wanacheza mchezo ambao hauufahamu na haupaswi kuisha.
 
Acheni chuki za kidini, zipo nchi kama iran hutangaza hadharani ya kwamba Israel kwa maana ya waisrael hawapaswi kuwepo, na huenda mbali zaidi kwa kuwatangazia wananchi wao wenye ujazo wa kutosha wa dini vichwani kuwa wanafanya mikakati ya kuifuta israel kwenye ramani ya dunia na wananchi wao wakaitikia kwa bashasha na vibwagizo vya kidini.

Hapo ndipo haki ya kujilinda huchukua nafasi yake kwa upande wa israel.

WAARABU WAKUBALI UWEPO WA ISRAEL NA WAFUTE NDOTO NA MAFUNDISHO HASI DHIDI YA ISRAEL NA WAKIYAISHI MANENO HAYO PATALETA KAMWANGA KA AMANI.
 
Mkuu Mimi huwa nakiwaza sana hicho kitu. Lkn umeenda mbali sana kwenye s-300..chukulia mfano raia wa kawaida wakipewa silaha ama mabomu ya (mkono) kurusha kama ya huku kwetu, sijui wale jamaa wangekua na hali gani sasaiv!
hahahaa watu bhana halafu IDF wakitembeza kichapo huko gaza watu ni kwanza kulalamika kuwa jamaa anatumia nguvu kubwa..wakitumia nguvu ndogo ooh jamaa wanatolewa kamasi na hamas
 
Kuna watu humu mnakera sana mleta uzi kaleta uzi wake vizuri lakini wenye akili fupi mmegeuza kuwa wa kidini huwa manikera sana
 
Yaani hawa jamaa wanavyo watoa kamasi Israel nomaa, ikitokezea siku wakapewa s-300 moja tuu na su 24 tatu, na baadi ya silaha tofauti zisizo fika tani 5, hiyo siku ndio mwisho wa Israel.
[emoji85] [emoji12]
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Kuna watu humu commet zao zinachekesha kweli kweli, eti kwa sababu ni taifa teule hakuna wakuwashinda...Mungu akiamua kitu na kweli kinakua hata awe na power kiasi gani,
Mungu ndiye aliamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…