johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Hamas wamesema katika Mipango yao hawakujua kama kutakuwa na Tamasha la Muziki siku ya tukio.
Ikumbukwe Waisrael 360 wanaosadikiwa walikuwa Kwenye Tamasha la Muziki waliuawa siku ya uvamizi wa Hamas nchini Israel.
Hamas wanadai helicopter ya Israel ndio iliripua ukumbi huo na kusababisha madhara makubwa
Source: Al jazeera News
Ikumbukwe Waisrael 360 wanaosadikiwa walikuwa Kwenye Tamasha la Muziki waliuawa siku ya uvamizi wa Hamas nchini Israel.
Hamas wanadai helicopter ya Israel ndio iliripua ukumbi huo na kusababisha madhara makubwa
Source: Al jazeera News