Sun Zu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2022
- 758
- 2,106
#gaza: Kundi la Wanamgambo wa Hamas limefyetua maroketi kuulenga mji wa Israel wa Tel Aviv ikiwa ni hatua yake ya kwanza ya kijeshi tangu Israel ilipoanza kuushambulia tena Ukanda wa Gaza baada ya kuvunjika kwa mkataba wa kusitisha vita.
Jeshi la Israel limesema limedungua roketi moja na mengine mawili yalianguka kwenye eneo lisilo na makaazi ya watu.
Jeshi la Israel limesema limedungua roketi moja na mengine mawili yalianguka kwenye eneo lisilo na makaazi ya watu.