Hamas anavyowapelekea moto Israel

Hamas anavyowapelekea moto Israel

Mimi nafikiri kitu mnachokosa nyie vijnana wa itikadi kali ni utimamu wa fikra katika dunia ya kweli, mnaishi katika dunia iliopikwa na uongo uongo kwa jina la mungu wenu wa kutengeneza .

Endeleeni kujifariji utahira
 
Mimi nafikiri kitu mnachokosa nyie vijnana wa itikadi kali ni utimamu wa fikra katika dunia ya kweli, mnaishi katika dunia iliopikwa na uongo uongo kwa jina la mungu wenu wa kutengeneza .

Endeleeni kujifariji utahira
Hio habari inaweza kuwa fake inaweza kuwa kweli itabidi next time niangalie Al ajazeera kuhakikisha kama ni kweli au fake. Nimetaka kuifuta nikashindwa.
 
Hio habari inaweza kuwa fake inaweza kuwa kweli itabidi next time niangalie Al ajazeera kuhakikisha kama ni kweli au fake. Nimetaka kuifuta nikashindwa.
Una busara sana aseeh, kupata taarifa ya ukweli ni ngumu sana na hizi propaganda zilivyonyingi
 
Mimi nafikiri kitu mnachokosa nyie vijnana wa itikadi kali ni utimamu wa fikra katika dunia ya kweli, mnaishi katika dunia iliopikwa na uongo uongo kwa jina la mungu wenu wa kutengeneza .

Endeleeni kujifariji utahira
huyo mungu anayekunya ,kujamba na kutawazishwa mavi ndiye mungu gani ??
 
🤣 🤣

Muulize kama ana taarifa Kuwa Waarabu na Waislamu zaidi ya nchi 51 wamekaa kumjadili Israel ila hawajatoka na uamuzi
Qur’an ilishamaliza yote, Mayahudi muda wao utafika. Mwisho Palestina watashinda vita na kuwa nchi huru katika ardhi yao yote.
 
Qur’an ilishamaliza yote, Mayahudi muda wao utafika. Mwisho Palestina watashinda vita na kuwa nchi huru katika ardhi yao yote.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Quran haihitambui Palestine,Nan kakudanganya?

WAPALESTINA NI WAVAMIZI KWA MUJIBU WA QURAN

Qur’an inataja wazi kuwa ardhi takatifu (Ardhi ya Kanaani/Palestina) ilipewa kwa Waisraeli (wana wa Israel). Kuna aya kadhaa zinazolitaja hilo:

Qur’an 5:20–21

Na Musa akawaambia watu wake

“Enyi watu wangu! Kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, alipowafanya manabii miongoni mwenu, na akakufanyeni wafalme, na akakupeni msichopewa yeyote katika walimwengu. Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuwekeeni, wala msirudi nyuma, msije mkageuka wakhasiri.”

Qur’an 17:104

Na baada ya Firauni, tukawaambia Wana wa Israel: “Kaeni katika ardhi; na utakapokuja ahadi ya Akhera, tutawakusanya pamoja.”

Qur’an inakiri kuwa Mwenyezi Mungu aliwapa Waisraeli ardhi hiyo kama urithi.

Musa aliwahimiza watu wake waingie katika Ardhi Takatifu ambayo tayari imewekwa kwa ajili yao.

WAPALESTINA NI WAVAMIZI
 
Back
Top Bottom