Afadhali nimsikilize Kingunge kuliko Hamad Rashid. Huyu na wenzake wa namna yake ni hayawani wakubwa.
Hawawafai CCM wala wapinzani. Karibuni alikuwa anasema CCM mbaya, CUF nzuri, leo CUF mbaya bali CCM nzuri. Mijitu ya namna hii haifai kwa lolote, maana haieleweki na wala haiaminiki kwa chochote. Ogopa kama ukoma watu vigeugeu. Hawa ni watu wanaotumikia matumbo yao.
Nitashangaa chama kitakachompokea huyu mnafiki Rashid. Rashid na Sita watu ni watu wa kapu moja. Sita leo akifukuzwa CCM, atahamia upinzani na kutoa kila aina ya tusi dhidi ya CCM. Wachumia tumbo ndivyo walivyo.