Hamadi Rashidi live eatv

Hamadi Rashidi live eatv

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,867
Mbunge wa Wawi mh. Hamadi Rashidi yuko live katika kituo cha EATV katika kipindi cha hot mix. Stay tuned.
 
Kati ya mandumilakuwili wanaolitafuna taifa kwa mgongo wa siasa.........to hell.
 
... Anasema Atagombea Urais Kupitia A D C 2015
 
ukiona matusi mengi hapo ndo utaona utata wa kiwango cha kufikria kilivyo
 
.... Namuona Ana Wogo Kweli. Sijui Anaogopa Nin
 
Yaani huu ndio mwisho wa taarifa na wengine kuhanikiza matusi tu?
 
Naona anaelezea katiba ilivyojibu matakwa ya wazanzibar na kupuuza ya watanganyika
 
Anasema katiba pendekezwa imeitambua zanzibar kama ni nchi, pia anasema kwa sasa kwenye katiba pendekezwa imewaruhusu wazanzibar kukopa kwa kudhaminiwa na serikali ya muungano.
 
... Anasema Atagombea Urais Kupitia A D C 2015

Sasa anatakiwa ajiondoe rasmi CUF maana ni ujinga kutangaza kugombea urais mwakani kwa chama kingine wakati ameng'ang'ania ubunge wa chama kingine.. Huo ni umalaya wa kisiasa uliohemewa na tamaa..
 
His days are numbered, kama mwanaume aende katika Jimbo lake wa Wawi ayasema hayo anayoyasema EATV?

Hamad Rashid CCM wamekutumia na ukatumika kisawa sawa, mahala pako sasa ni kwenye pipa la taka, pole sana, dhambi ya usaliti itakutufana maisha yako yote!
 
ukiona matusi mengi hapo ndo utaona utata wa kiwango cha kufikria kilivyo


Watu kama akina Hamad Rashid ni kero kwasababu nimmoja yawatu waliokuwa wanatupa elimu Ccm ni mbaya lakini leo hii yukonao kundi moja anafanya Kama yawao,sasa tunajiuliza Ccm wamekuwa wazuri lini?.Kwanini tusimuone ukakasi?
 
Namcheki huyu jamaa anaulizwa hapa anaoneshwa tovuti ya bunge na idadi za kura anabaki kubwela tu
 
Back
Top Bottom